Serikali inatudanganya kuhusu mfumko wa bei?

Serikali inatudanganya kuhusu mfumko wa bei?

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
73,255
Reaction score
103,407
Serikali kupitia NBS, BOT wanadai mfumko wa bei ni 4.4% ila kiuhalisia vitu vimepanda bei zaidi ya hizo asilimia tajwa

Jaribu fatilia bei za bidhaa tokea 01/01/2022 hadi leo, afu linganisha na huo mfumko tajwa..

Tumeona Mafuta yakiongezeka kwa zaidi ya 1400 ndani ya miezi 8, tukichukua kwa asilimia hilo ni ongezeko la 41% sasa inakuwaje Serikali iseme mfumko wa bei ni 4.4%

Kwanini tusielezwe ukweli, ili tujipange na uhalisia?

Tutafakari
 
Serikali kupitia NBS, BOT wanadai mfumko wa bei ni 4.4% ila kiuhalisia vitu vimepanda bei zaidi ya hizo asilimia tajwa

Jaribu fatilia bei za bidhaa tokea 01/01/2022 hadi leo, afu linganisha na huo mfumko tajwa....
Wa kutueleza ukweli hayupo, safari hii ni nginja nginja tu
 
Sabuni za kufulia za mche

Hadi January mwaka huu
Mche mdogo uliuzwa kati ya 800-1000
Ila kwa sasa mche mdogo wauzwa kati ya 1200-1500

Miche mikubwa maarufu JAMAA ilikuwa ikiuzwa 2500, kwa sasa ni 3500 au zaidi.

Je hili ongezeko lina akisi mfumko tajwa na serikali?
 
Sio kila kupanda kwa bei ya bidhaa (Price increase) ni lazima iwe mfumuko wa bei (Inflation) kuna Economic Factors kadhaa huwa considered katika justification and measuring Inflation in the Country. Wachumi wanaelewa hilo.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Sio kila kupanda kwa bei ya bidhaa (Price increase) ni lazima iwe mfumuko wa bei (Inflation) kuna Economic Factors kadhaa huwa considered katika justification and measuring Inflation in the Country. Wachumi wanaelewa hilo.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo economic factors zinawahusu wachumi pekee
 
Serikali zote huwa hazisemi ukweli kwenye suala la mfumuko wa bei. Marekani wanasema ni 9% lakini wataalamu wanasema ni 17%
 
AAH YAANI VITU VINAZIDI KUPANDA JUU TU, MAISHA MAGUMU
 
Bi hangaya nchi imemshinda ameanza kupika data mara rushwa imepungua, Dar Jiji la SITA Kwa usafi Africa na Sasa mfumko wa bei
 
Back
Top Bottom