Serikali inamuogopa Lissu?

Nadhani wanahofia kuweka rumande wapibzani 2 maarufu, Lema na Lisu, kwa wakati mmoja. Itawachafua kwenye anga za kisiasa kimataifa
 

Watanzania bwana, kwahiyo hiyo redline ni zaidi ya watu kuhujumu uchumi na kusafirisha nyara za taifa? au redline hiyo ni zaidi ya kuua uku ukiwa na maafisa polisi pamoja? au redline mpaka ikitokea umeua rais? au redline hiyo mpaka ukanyage kapet nyekundu ya rais?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…