Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
japo si mwanamazingira, lakini suala la mabadiliko ya tabia nchi kwa sasa ni dhahiri na linaweza kutamalaki mahala popote Mungu akiamua.
Tunakumbuka ya Kimbunga Katrina kilivyoitafuna New Orleans.
Tunakumbuka namna New Zealand ilivyotikiswa juzijuzi tu hapa.
Tunakumbuka namna Tsunami ilivyotafuna kisiwa cha Java hiko Bangladesh.
Na sasa dunia na macho yote hayako tena kwa Gaddafi; dunia sasa inahaha kujinasua na tishio la kinu cha nyuklia cha Japan baada ya nguvu ya Mungu kudhihirika kupitia Tsunami.
Tanzania na hasa hukanda huu wa Pwani, na hasa hasa Dar Es Salaam vipo kwenye mdomo wa mamba. Bahari ya Hindi.
Ikulu ya Dar Es Salaam iko salama kiasi gani tunaposikia nchi yenye technolojia na watu makini kama Japani inatikiswa na nguvu hii ya Mungu? ?
Wakazi wa maeneo tambarare kama Mbweni wako salama kiasi gani tunaposikia nchi yenye technolojia na watu makini kama Japani inatikiswa na nguvu hii ya Mungu?
Wakazi wa Kigamboni watakimbilia wapi siku nguvu hii itakapodhihirika nchini kwetu?
Najua wabongo ni watu wa majungu. Mtasema huu ni uchuro.
Naenda zangu Church.
Tunakumbuka ya Kimbunga Katrina kilivyoitafuna New Orleans.
Tunakumbuka namna New Zealand ilivyotikiswa juzijuzi tu hapa.
Tunakumbuka namna Tsunami ilivyotafuna kisiwa cha Java hiko Bangladesh.
Na sasa dunia na macho yote hayako tena kwa Gaddafi; dunia sasa inahaha kujinasua na tishio la kinu cha nyuklia cha Japan baada ya nguvu ya Mungu kudhihirika kupitia Tsunami.
Tanzania na hasa hukanda huu wa Pwani, na hasa hasa Dar Es Salaam vipo kwenye mdomo wa mamba. Bahari ya Hindi.
Ikulu ya Dar Es Salaam iko salama kiasi gani tunaposikia nchi yenye technolojia na watu makini kama Japani inatikiswa na nguvu hii ya Mungu? ?
Wakazi wa maeneo tambarare kama Mbweni wako salama kiasi gani tunaposikia nchi yenye technolojia na watu makini kama Japani inatikiswa na nguvu hii ya Mungu?
Wakazi wa Kigamboni watakimbilia wapi siku nguvu hii itakapodhihirika nchini kwetu?
Najua wabongo ni watu wa majungu. Mtasema huu ni uchuro.
Naenda zangu Church.