nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari.
Kwanini serikali ya Tanzania kupitia wizara ya afya na wizara ya TAMISEMI wameweza kupitisha muongozo wa ajira za kujitolea katika hospitali za mikoa na wilaya na zikitaka Hospitali hizo kulipa kupitia mapato yao ya ndani.
Narudi kwa mada serikali yetu:
1. Je serikali imejiandaa Vipi kupunguza changamoto ya ajira kwa vijana waliosoma afya ilhali ikihamisha vijana wajitolee kwa malipo ya nusu ya mshahara?
2. Upungufu wa watumishi wa umma katika idara ya afya kwanini serikali inataka kupunguza kupitia watoto wadogo kujitolea kwa kazi nyingi na ujira mdogo.
3. Vijana wanajitolea wanafanyishwa kazi nyingi pasipo na utaratibu sahihi hasa kwa watumishi wa umma walioajiriwa serikalini.
4. Malipo yanatolewa pasipo kuzingatia wakati na utaratibu sahihi Je yanaleta changamoto kubwa katika maisha ya wanaojitolea.
Nauliza Je serikali ina dira gani katika vijana wanaojitolewa nje ya Kuwapa ahadi hewa ya Kuwaajiri?
Kwanini serikali ya Tanzania kupitia wizara ya afya na wizara ya TAMISEMI wameweza kupitisha muongozo wa ajira za kujitolea katika hospitali za mikoa na wilaya na zikitaka Hospitali hizo kulipa kupitia mapato yao ya ndani.
Narudi kwa mada serikali yetu:
1. Je serikali imejiandaa Vipi kupunguza changamoto ya ajira kwa vijana waliosoma afya ilhali ikihamisha vijana wajitolee kwa malipo ya nusu ya mshahara?
2. Upungufu wa watumishi wa umma katika idara ya afya kwanini serikali inataka kupunguza kupitia watoto wadogo kujitolea kwa kazi nyingi na ujira mdogo.
3. Vijana wanajitolea wanafanyishwa kazi nyingi pasipo na utaratibu sahihi hasa kwa watumishi wa umma walioajiriwa serikalini.
4. Malipo yanatolewa pasipo kuzingatia wakati na utaratibu sahihi Je yanaleta changamoto kubwa katika maisha ya wanaojitolea.
Nauliza Je serikali ina dira gani katika vijana wanaojitolewa nje ya Kuwapa ahadi hewa ya Kuwaajiri?