mahololelo
Member
- Oct 11, 2011
- 32
- 5
Kuna tetesi kwamba serikali imetoa agizo leo mifuko yote ya hifadhi ya jamii kuacha kutoa mafao ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa wafanyakazi wote watakao acha au kufukuzwa kazi kabla ya muda wa kustaafu kufika kuanzia leo.Taarifa hii imetolewa na meneja wa NSSF Mkoa wa Mara,Ndg MVUNGI pamoja na HR meneja wa barrick north mara leo wakati wanatoa ufafanuzi juu ya mambo yanayohusu sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii.MWENYE TAARIFA KAMILI ATUJUZE