Serikali imeshindwa kuendesha TANESCO

unafkiri ikibinafsishwa kuna atakae baki kwenye uongozi wa tanesco?
Nawe Unadhani Bei zitakuwa hizi hizi?

Hujiulizi kwann umeme wa sollar ukiunganishiwa na Yale makampuni binafsi ni gharama kubwa kuliko umeme wa Tanesco?

Muhimu ni viongozi wabovu watimuliwe, RUSHWA idhibitiwe nupate ufanisi zaidi ya hapa tulipo,

Bt kamwe Tanesco haitabinafsishwa ni hatari Kwa USALAMA wa Nchi.
 
Nawe Unadhani Bei zitakuwa hizi hizi?

Hujiulizi kwann umeme wa dollar ukiunganishiwa na Yale makampuni binafsi ni gharama kubwa kuliko umeme wa Tanesco?

Muhimu ni viongozi wabovu watimuliwe, RUSHWA idhibitiwe nupate ufanisi zaidi ya hapa tulipo,

Bt kamwe Tanesco haitabinafsishwa ni hatari Kwa USALAMA wa Nchi.
bora ninunue unit moja kwa sh 1000 kuliko kukosa umeme kutikana na shughuli zangu za kiuchumi
 
bora ninunue unit moja kwa sh 1000 kuliko kukosa umeme kutikana na shughuli zangu za kiuchumi
Wakati huo ukiendelea kulalamika, tuna milima ya liganga na mchuchuma, Kuna chama tawala kikongwe Afrika kimejimilikisha, makaa yanapelekwa Nchi Jirani kama kituo Cha kwenda ughaibuni.

Ama Kweli, adui wa mtu ni yule wa nyumbani mwake.
 
Kwanza nnandika hapa umeme ukiwa umekatika, niko gizani!

Tumesikia bandari inapewa waarabu na moja ya sababu iliyotolewa ni serikali kushindwa kuisimamia!

Kwa sababu TANESCO wanakata kata umeme kila saa ikiashiria kwamba serikali imeshindwa kusimamia utoaji wa huduma ya uhakika je kuna iwezekano baada ya bandari TANESCO ikakabidhiwa kwa waarabu?
 
Kwanza nnandika hapa umeme ukiwa umekatika, niko gizani!

Tumesikia bandari inapewa waarabu na moja ya sababu iliyotolewa ni serikali kushindwa kuisimamia!

Kwa sababu TANESCO wanakata kata umeme kila saa ikiashiria kwamba serikali imeshindwa kusimamia utoaji wa huduma ya uhakika je kuna iwezekano baada ya bandari TANESCO ikakabidhiwa kwa waarabu?
Kuna mdau anashauri wakabidhiwe zeeesiiicooo😂
 
Kwanza nnandika hapa umeme ukiwa umekatika, niko gizani!

Tumesikia bandari inapewa waarabu na moja ya sababu iliyotolewa ni serikali kushindwa kuisimamia!

Kwa sababu TANESCO wanakata kata umeme kila saa ikiashiria kwamba serikali imeshindwa kusimamia utoaji wa huduma ya uhakika je kuna iwezekano baada ya bandari TANESCO ikakabidhiwa kwa waarabu?
Hicho ni kichaka cha kupigia hela!! Angekuepo power provider mwingine tanesco bye bye
 
nyerere alikua mtu mbaya sana,matokeo tunayaona sasa,haya yapoteze mazuzu,kufundshwa kiswahili utoton,na lugha ngeni ukubwan imewasaidia
 
Back
Top Bottom