Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 755
- 468
Ikiwa kama mwananchi napendekeza serikali kulitoa shirika la Tanesco kwa wawekezaji sababu imeshindwa kusimamia upatikanaji wa umeme wa uhakika. Umeme kwetu unakatika si chini ya mara 8 kwa siku moja na zaidi mida ya usiku.
Yani nimekaa kwangu nimelipia kuunganiahiwa umeme na nimenunua umeme na bado nakosa umeme na bado serikali imekaa kimnya.
Kwanini mama anamuogopa sana January Makamba hawezi kumuwajibisha katika wizara yake kwa utendaji wake mbovu wa kazi?
Yani nimekaa kwangu nimelipia kuunganiahiwa umeme na nimenunua umeme na bado nakosa umeme na bado serikali imekaa kimnya.
Kwanini mama anamuogopa sana January Makamba hawezi kumuwajibisha katika wizara yake kwa utendaji wake mbovu wa kazi?