D DOMA JF-Expert Member Mar 17, 2011 944 365 Feb 9, 2012 #1 Serikali imekubali moja ya madai ya madaktari ya kuongeza posho kutoka 10000 hadi 25000. Source Tbc
Ngalikihinja JF-Expert Member Sep 1, 2009 31,275 31,404 Feb 9, 2012 #2 DOMA said: Serikali imekubali moja ya madai ya madaktari ya kuongeza posho kutoka 10000 hadi 25000. Source Tbc Click to expand... Inatakiwa wakubali yote
DOMA said: Serikali imekubali moja ya madai ya madaktari ya kuongeza posho kutoka 10000 hadi 25000. Source Tbc Click to expand... Inatakiwa wakubali yote
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Feb 9, 2012 #3 Usiniambie mkuu. Hongereni sana madaktari. Ni lazima mpiganiye haki nyinyi mnaosaidia kuokoa maisha ya watu
Usiniambie mkuu. Hongereni sana madaktari. Ni lazima mpiganiye haki nyinyi mnaosaidia kuokoa maisha ya watu
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Feb 9, 2012 #5 hivi amri unaisalimuje? Shikamoo au shikamo?
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,163 Feb 9, 2012 #6 mbona mnaleta thread za kuhamasisha stress hadi humu?
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,375 Feb 9, 2012 #7 25000 bado ni ndogo sana dah ukiangalia na hiyo laki 200000
mopaozi JF-Expert Member Nov 17, 2010 3,301 520 Feb 9, 2012 #8 .......Network search........no network......shutting down.....