Serikali imemtenga Brg Gen Balele

Serikali imemtenga Brg Gen Balele

Siku hizi JF tuna shida kubwa; sasa hapa ndio umesema nini kwa hadhira yako?

Mnatupa wakati mgumu kuelewa mmeandika kitu gani.

Yes 4 stars General Balele amewahi kuwa Dr. huko Lugalo na pia kuwa Mkuu wa Mikoa fulani.

Hizo ni facts sasa kusema sijui katengwa mbona hujasema katengwa ki vipi? Hapati haki zake au ni nini?
Wengine wanataka kila siku wawe wao tu ndio wako kwenye usukuni. Wakikaa pembeni wanaona nongwa. Wanasahau kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho
 
Kiukweli alifanya mambo makubwa alisimamia ujenzi wa lami mjini shinyanga hata viwanda vingi vipya vya shinyanga alihamasisha yeye lakini ni kama ulivyosema Mkuu fanya wema uondoke ukitizama nyuma yatakuletea matatizo mkuu
 
Ukishastaafu unakumbukwa kwa pensheni. Kama wamemnyima pensheni hapo kweli wamemsahau.
kwani nini maana ya kustaafu?mbona hata sisi wazazi wetu pamoja na kutoa mchango mkubwa kwa taifa lkn hakuna anaewakumbuka baada ya kustaafu?
 
Mstaafu huyo kanyimwa pensheni yake, nini? Kama anapata unataka akumbukwe kivipi?
Pamoja na kuitumikia serikali kwa mda mrefu, kupigana vita Uganga, Kutibu wagonjwa Mashuhuri ktk Hospital ya Kijeshi Lugalo, Kubadilisha Elimu Mkoa wa Shinyanga, Kuisimamia Simiyu mpaka kuwa Mkoa, lakini Serikali ya awamu ya 4 haikuona hayo yote na Serikali ya awamu ya 5 pia kuendelea na ‘Ban’ kwa huyu muheshimiwa.

Kweli tenda wema nenda zako, wanafiki ndio wajaliwao.

Inasikitisha sana.
 
Brigadier General kwa mfumo wa jeshi la wananchi wa Tanzania ni ONE STAR GENERAL, four star general ni CDF. Nawasilisha
Siku hizi JF tuna shida kubwa; sasa hapa ndio umesema nini kwa hadhira yako?

Mnatupa wakati mgumu kuelewa mmeandika kitu gani.

Yes 4 stars General Balele amewahi kuwa Dr. huko Lugalo na pia kuwa Mkuu wa Mikoa fulani.

Hizo ni facts sasa kusema sijui katengwa mbona hujasema katengwa ki vipi? Hapati haki zake au ni nini?
 
Back
Top Bottom