Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,442
- 1,144
Sina mengi ya kuongea sababu ulichokisema umeniwakilisha nami kwanza utengwaji hajauweka wazi kwa kweli tuna shida sana na uwasilishaji wa vitu haihitaji uwe mwandishi ndio utoe khabari nzuri kwa mada kama hii
Ikiwa elimu yenyewe ni ya kuungaunga unategemea mtu aweze kuwasilisha mawazo yake wenzake wakamwelewa? Yeye anadhani hapa JF ni sawa na kule kijiweni kwao ambako chochote tu unaweza kuongea hata kama hakina mashiko. Pia, anapokomaa kwamba huyo Brigedia akumbukwe kwani si ameshastaafu? Nchi hii mbona ina watu wengi tu wenye elimu na weledi kwanini tunakomalia wastaafu tu?!!!!

