#COVID19 Serikali imejipangaje kwa kadi feki za chanjo ya Corona?

Kama wameshindwa tu kujuwa ubora wa hizo chanjo, unazan wataweza kujua ip feki, ip og? hil jambo linaendeshwa kisiasa, yaan wanasiasa ndyo wamekwapua jukumu la madaktari na kujikuta wasemaji wakuu wa tiba&chanjo, usitegemee lolote lile zaid ya siasa zao za kuwafariji in positive way only, wao wanatetea matumbo yao tu huku wataalamu wakilazimishwa kufuata maneno ya hawa wanasiasa na kujikuta nao wanakuwa watos matamko kama ya wanasiasa ya kupromote chanjo bila kuhoji wala kuitest ubora... ushenz huu utaicost hii nchi pale watu watakapoanza kupukutika kama mende , subirini tuu, ipo siku wataelewa tu
IMG-20210727-WA0021.jpg
 
Majibu haya yananipeleka mbali sana na kuamini kuwa kadi feki zitakuwa mkombozi kwa wale ambao hawataki kupata chanjo , kwa mfano nikikumbuka juu ya chanjo ya homa ya manjano (Yellow Fever) , kadi hii pia ni moja ya kadi iliyotumika kama moja ya vielelezo vya kupata baadhi ya huduma ndani na nje ya nchi , mfano ukitaka kusafiri kwenda nchi za magharibi ili upewe Visa ni lazima uwasilishe hiyo kadi , lakini wabongo kwa ujanja wao walifanikiwa kutoa kadi feki ambayo inafanana kwa asilimia 100 na ile yenyewe na kwa sababu serikali haipo makini ili jambo la kadi feki za yellow fever mpaka sasa kadi hizo zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Mtindo huu ndio unaoonekana kusubiriwa kwa hamu kubwa na watanzania wengi kuwa hawatachanja lakini kadi watapata, sasa sijui serikali imejipangaje juu ya hili swala tumbuke kuwa ukiacha hizo kadi feki kutoka kwa wajanja wa mjini pia kuna zile kadi zitakazokuwa zimeachwa na waliochanja aidha kwa wao kuhama eneo au kutokujali kuchukua hiyo kadi na wahudumu wa chanjo watageuza kuwa fursa kwao kwa kuwauzia wale wenye kuhitaji angali hawataki kuchanja.
Umesema vizuri kuhusu chanjo ya manjano kwamba vyeti vyake vinafojiwa,Nikuulize je,uliwahi kuishauri serikali kudhibiti uchakachuaji wa chanjo hiyo?
Ninachokiona hapa kwenye ushauri wako ni roho mbaya a.k.a uchawi kwamba kwa kuwa
umechanjwa watu wote walazimishwe ile endapo chanjo ina madhara basi watu wote wadhurike.
Hutafanikiwa maana Mungu hajawahi kuangamiza watu wote,lazima kuna watakaopona.

Nasema hivyo kwa sababu,kama ulichanjwa chanjo ya manjano,hata mimi nimechanjwa
ila hukuwahi kuishauri serikali ijipange kudhibiti wanaofoji,ni nini kinachokusukuma
kwenye chanjo hii ya corona? Tulia uhai ni hiari ndo maana watu wengine na afya zao wanajipiga risasi.
tusilazimishane kuishi,maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu hangaika na ya kwako.
 
Majibu haya yananipeleka mbali sana na kuamini kuwa kadi feki zitakuwa mkombozi kwa wale ambao hawataki kupata chanjo , kwa mfano nikikumbuka juu ya chanjo ya homa ya manjano (Yellow Fever) , kadi hii pia ni moja ya kadi iliyotumika kama moja ya vielelezo vya kupata baadhi ya huduma ndani na nje ya nchi , mfano ukitaka kusafiri kwenda nchi za magharibi ili upewe Visa ni lazima uwasilishe hiyo kadi , lakini wabongo kwa ujanja wao walifanikiwa kutoa kadi feki ambayo inafanana kwa asilimia 100 na ile yenyewe na kwa sababu serikali haipo makini ili jambo la kadi feki za yellow fever mpaka sasa kadi hizo zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Mtindo huu ndio unaoonekana kusubiriwa kwa hamu kubwa na watanzania wengi kuwa hawatachanja lakini kadi watapata, sasa sijui serikali imejipangaje juu ya hili swala tumbuke kuwa ukiacha hizo kadi feki kutoka kwa wajanja wa mjini pia kuna zile kadi zitakazokuwa zimeachwa na waliochanja aidha kwa wao kuhama eneo au kutokujali kuchukua hiyo kadi na wahudumu wa chanjo watageuza kuwa fursa kwao kwa kuwauzia wale wenye kuhitaji angali hawataki kuchanja.
Umesema vizuri kuhusu chanjo ya manjano kwamba vyeti vyake vinafojiwa,Nikuulize je,uliwahi kuishauri serikali kudhibiti uchakachuaji wa chanjo hiyo?
Ninachokiona hapa kwenye ushauri wako ni roho mbaya a.k.a uchawi kwamba kwa kuwa
umechanjwa watu wote walazimishwe ile endapo chanjo ina madhara basi watu wote wadhurike.
Hutafanikiwa maana Mungu hajawahi kuangamiza watu wote,lazima kuna watakaopona.

Nasema hivyo kwa sababu,kama ulichanjwa chanjo ya manjano,hata mimi nimechanjwa
ila hukuwahi kuishauri serikali ijipange kudhibiti wanaofoji,ni nini kinachokusukuma
kwenye chanjo hii ya corona? Tulia uhai ni hiari ndo maana watu wengine na afya zao wanajipiga risasi.
tusilazimishane kuishi,maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu hangaika na ya kwako.
 
Majibu haya yananipeleka mbali sana na kuamini kuwa kadi feki zitakuwa mkombozi kwa wale ambao hawataki kupata chanjo , kwa mfano nikikumbuka juu ya chanjo ya homa ya manjano (Yellow Fever) , kadi hii pia ni moja ya kadi iliyotumika kama moja ya vielelezo vya kupata baadhi ya huduma ndani na nje ya nchi , mfano ukitaka kusafiri kwenda nchi za magharibi ili upewe Visa ni lazima uwasilishe hiyo kadi , lakini wabongo kwa ujanja wao walifanikiwa kutoa kadi feki ambayo inafanana kwa asilimia 100 na ile yenyewe na kwa sababu serikali haipo makini ili jambo la kadi feki za yellow fever mpaka sasa kadi hizo zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Mtindo huu ndio unaoonekana kusubiriwa kwa hamu kubwa na watanzania wengi kuwa hawatachanja lakini kadi watapata, sasa sijui serikali imejipangaje juu ya hili swala tumbuke kuwa ukiacha hizo kadi feki kutoka kwa wajanja wa mjini pia kuna zile kadi zitakazokuwa zimeachwa na waliochanja aidha kwa wao kuhama eneo au kutokujali kuchukua hiyo kadi na wahudumu wa chanjo watageuza kuwa fursa kwao kwa kuwauzia wale wenye kuhitaji angali hawataki kuchanja.
Umesema vizuri kuhusu chanjo ya manjano kwamba vyeti vyake vinafojiwa,Nikuulize je,uliwahi kuishauri serikali kudhibiti uchakachuaji wa chanjo hiyo?
Ninachokiona hapa kwenye ushauri wako ni roho mbaya a.k.a uchawi kwamba kwa kuwa
umechanjwa watu wote walazimishwe ile endapo chanjo ina madhara basi watu wote wadhurike.
Hutafanikiwa maana Mungu hajawahi kuangamiza watu wote,lazima kuna watakaopona.

Nasema hivyo kwa sababu,kama ulichanjwa chanjo ya manjano,hata mimi nimechanjwa
ila hukuwahi kuishauri serikali ijipange kudhibiti wanaofoji,ni nini kinachokusukuma
kwenye chanjo hii ya corona? Tulia uhai ni hiari ndo maana watu wengine na afya zao wanajipiga risasi.
tusilazimishane kuishi,maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu hangaika na ya kwako.
 
Majibu haya yananipeleka mbali sana na kuamini kuwa kadi feki zitakuwa mkombozi kwa wale ambao hawataki kupata chanjo , kwa mfano nikikumbuka juu ya chanjo ya homa ya manjano (Yellow Fever) , kadi hii pia ni moja ya kadi iliyotumika kama moja ya vielelezo vya kupata baadhi ya huduma ndani na nje ya nchi , mfano ukitaka kusafiri kwenda nchi za magharibi ili upewe Visa ni lazima uwasilishe hiyo kadi , lakini wabongo kwa ujanja wao walifanikiwa kutoa kadi feki ambayo inafanana kwa asilimia 100 na ile yenyewe na kwa sababu serikali haipo makini ili jambo la kadi feki za yellow fever mpaka sasa kadi hizo zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Mtindo huu ndio unaoonekana kusubiriwa kwa hamu kubwa na watanzania wengi kuwa hawatachanja lakini kadi watapata, sasa sijui serikali imejipangaje juu ya hili swala tumbuke kuwa ukiacha hizo kadi feki kutoka kwa wajanja wa mjini pia kuna zile kadi zitakazokuwa zimeachwa na waliochanja aidha kwa wao kuhama eneo au kutokujali kuchukua hiyo kadi na wahudumu wa chanjo watageuza kuwa fursa kwao kwa kuwauzia wale wenye kuhitaji angali hawataki kuchanja.
Umesema vizuri kuhusu chanjo ya manjano kwamba vyeti vyake vinafojiwa,Nikuulize je,uliwahi kuishauri serikali kudhibiti uchakachuaji wa chanjo hiyo?
Ninachokiona hapa kwenye ushauri wako ni roho mbaya a.k.a uchawi kwamba kwa kuwa
umechanjwa watu wote walazimishwe ile endapo chanjo ina madhara basi watu wote wadhurike.
Hutafanikiwa maana Mungu hajawahi kuangamiza watu wote,lazima kuna watakaopona.

Nasema hivyo kwa sababu,kama ulichanjwa chanjo ya manjano,hata mimi nimechanjwa
ila hukuwahi kuishauri serikali ijipange kudhibiti wanaofoji,ni nini kinachokusukuma
kwenye chanjo hii ya corona? Tulia uhai ni hiari ndo maana watu wengine na afya zao wanajipiga risasi.
tusilazimishane kuishi,maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu hangaika na ya kwako.
 
Back
Top Bottom