SBAKARI
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 355
- 289
kwan Sheria nayo hawawe kuomba maon?Mzee mbon mgumu kuelewa....mbon upo kwenye kiwango kikubwa cha ujinga labda niandike kwa herufi kubwa uelewe... SHERIA HAIPITISHWI NA KANUNI, BAADA YA SHERIA KUPITA NDIO WADAU WANAITWA SASA KUTOA MAONI ILI KUTUNGA KANUNI ZA KUONGOZA SHERIA ILIYOPITISHWA...NA SIO KWAMBA SHERIA INA KASORO NDIO MAANA MAONI YANAOMBWA...kama hujaelewa sasa itakuwa bahati mbaya...