Serikali iliyojaa rushwa yaaibisha tena

Serikali iliyojaa rushwa yaaibisha tena

Hawa Uingereza si marafiki wa kweli. Yaani taifa kubwa linatoa misaada ya chandarua? Bora China, rafiki wa kweli

acheni kujitoa akili. visima vya gesi muwape wachina halafu misaada mkachukue UK? shame upon you gambaz!
 
Serikali ya uingereza imesitisha msaada wa kutoa vyandarua kutokana na udanganyifu toka serikalini!!!
Serikali inajisifia mbele ya mataifa mengine eti imepunguza vifo vya watoto na mama wajawazito!!
My take!! Ni aibu sana kutumia umasikini na maradhi ya raia kujishibishia mimatumbo yenu!!! Nyambaaaaa........
Source: star TV habari

CCM Msalani hivi hii Serekali inaongozwa na Chama Gani vile?
 
Serikali ya uingereza imesitisha msaada wa kutoa vyandarua kutokana na udanganyifu toka serikalini!!!
Serikali inajisifia mbele ya mataifa mengine eti imepunguza vifo vya watoto na mama wajawazito!!
My take!! Ni aibu sana kutumia umasikini na maradhi ya raia kujishibishia mimatumbo yenu!!! Nyambaaaaa........
Source: star TV habari

Kupambana na malaria kwa kugawa vyandarua peke yake ni aibu kwa nchi inayojiheshimu. Nchi zote zilizofanikiwa kuondoa malaria walipambana na kuondoa mazalio huku wakitoa tiba kwa wananchi hadi wakafikia kuwa na mbu wasio na wadudu wa malaria.
Vyandarua ni mradi wa utapeli maana chanzo cha malaria kinakuwa kipo pale pale lakini watu wanatengeza hela kila wakati kwa kuuza dawa na vyandarua.
 
Kikwete alienda Canada miezi
michache iliyopita kwenye mkutano wa mama na mtoto. Sijui alidanganya
nini huko mpaka ika raise red flag.

Wamezoeya kutudanganya sasa wameenda kuwadanganya na mabwana zao huko.
 
Back
Top Bottom