Serikali iliyojaa rushwa yaaibisha tena

Serikali iliyojaa rushwa yaaibisha tena

somijo

Senior Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
110
Reaction score
47
Serikali ya uingereza imesitisha msaada wa kutoa vyandarua kutokana na udanganyifu toka serikalini!!!

Serikali inajisifia mbele ya mataifa mengine eti imepunguza vifo vya watoto na mama wajawazito!!

My take!! Ni aibu sana kutumia umasikini na maradhi ya raia kujishibishia mimatumbo yenu!!! Nyambaaaaa........

Source: star TV habari
 
Misaada mingine ni kujidhalilisha tu. bora imesitishwa
 
Hawa Uingereza si marafiki wa kweli. Yaani taifa kubwa linatoa misaada ya chandarua? Bora China, rafiki wa kweli
 
Hawa Uingereza si marafiki wa kweli. Yaani taifa kubwa linatoa misaada ya chandarua? Bora China, rafiki wa kweli

Nafikiri ungepaswa kuhoji nchi iliyojaa rasilimali kibao still hata vyandarua inashindwa kuwapa wananchi wake bure!!!!!
 
Utawara wa kutegemea misaada, hadi net? duuu! hii kal bora wasitishe tu.
 
Na tena tunapiga hatua manake tuna mpango wa Matokeo Makubwa Sasa(MMS), tunasonga mbele
 
wana ndoa/wenza mnashauriwa kutokununiana kwa msaada wa watu wa Marekani in exchange of Gold, Uranium, Diamond, Nickel, Gas, Umeme wa Bei mbaya na Gas... I wish kizazi hiki kingekufa chote maana mnawatia aibu ancestors wetu kwa kushindwa kujitawala...
 
wana ndoa/wenza mnashauriwa kutokununiana kwa msaada wa watu wa Marekani in exchange of Gold, Uranium, Diamond, Nickel, Gas, Umeme wa Bei mbaya na Gas... I wish kizazi hiki kingekufa chote maana mnawatia aibu ancestors wetu kwa kushindwa kujitawala...

Muafrika ameletwa duniani ili atawaliwe milele na mzungu.
Mtu mzima amepewa kila kitu lkn bado hawezi ku-manage rasimali na maisha ktk nchi yake.
Poor idiot watawala wanaotawaliwa
 
Kikwete alienda Canada miezi michache iliyopita kwenye mkutano wa mama na mtoto. Sijui alidanganya nini huko mpaka ika raise red flag.
 
Serikali hii haikuwahi kusema ukweli,haisemi ukweli na haitakuja kusema ukweli.Msaada wa neti?shame on you!China haina urafiki wowote na Tanzania bali china inavuna rasilimali za nchi hii wakisaidiana na makuwadi wa soko huria.Hakuna taifa katika dunia hii litakalopiga hatua kimaendeleo kwa kutegemea msaada wa mabeberu na China yenye sera mpya za kiuchumi.Wachina sasa wana msemo wao "Rangi ya paka siyo hoja ilimradi ankamata panya"wao ni wizi wa rasilimali tu kukicha haijalishi ni kona gani ya dunia hii.
 
Muafrika ameletwa duniani ili atawaliwe milele na mzungu.
Mtu mzima amepewa kila kitu lkn bado hawezi ku-manage rasimali na maisha ktk nchi yake.
Poor idiot watawala wanaotawaliwa

waafrika hatukuumbwa kutawaliwa ila viongozi walafi,wasiowazalendo,wanafiki ndio wanaofanya bara hili lionekane duni.Lkn kl palipo na maovu, Mungu uleta mkombozi na atakapokuja Afrika itatawala dunia kiuchumi,michezo ,sayansi na utamaduni.
 
Hawa Uingereza si marafiki wa kweli. Yaani taifa kubwa linatoa misaada ya chandarua? Bora China, rafiki wa kweli

Mbona huzungumzii udandanyifu unaofanywa na viongozi Wa ccm?mpuuzi wewe,unataka mpewe misaada mikubwa mzidi kujitajirisha!raslimali za nchi zingetumika ipasavyo,tusingehitaji misaada.lakini kwakuwa ccm ni wezi Wa binafsi,wamebaki kuzipora na kujilimbikizia ,
 
Kikwete alienda Canada miezi michache iliyopita kwenye mkutano wa mama na mtoto. Sijui alidanganya nini huko mpaka ika raise red flag.

Alikuwa mja mwepesi kwani? Au alialikwa kama mama?
 
Ujumbe halisia kwa kina Fikra mgando ni wazungu/wachina si wajomba zetu.MFUMO WA KIBEPARI HAUNA HURUMA KWA WANAOJIITA MASKINI WAKATI MALI IMEJAA NCHI II.
HATA HAWA WEZI WA MALI YA UMA NI BORN STILL WA MIFUMO YA KIBEPARI.WOO TO THEM.
 
Misaada mingine ni kujidhalilisha tu. bora imesitishwa
Sasa kama mnajua hilo mbona viongozi wako ndio wanenda kuomba hiyo misaada ya vyandarua, alafu wanatoa madini yetu bure.
Kwa sababu hiyo mmekwisha kujihukumu wenyewe.
 
Back
Top Bottom