Wajumbe wote wa GNT, Mgonja, Mwakapugi,...wamepelekewa barua zakujieleza kabla kuchukuliwa hatua za kinidhamu. Wameshawasilisha utetezi wao. Mamlaka husika zinatarajiwa kuchukua hatua
Natural justice imekuwa ndo kinga ya kila kitu!Such a toothless speech!!!