Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 2,633
- 2,378
Nazungumzia mapunjo ya mishahara kwa watumishi mbalimbali wakiwemo wahudumu wa afya na walimu.
Fomu za kudai mapunjo hayo zilijazwa tangu mwezi January 2020 lakini hadi leo hii hakuna taarifa yoyote juu ya kulipwa.
Hii hali inawakera watumishi waliopunjwa
Fomu za kudai mapunjo hayo zilijazwa tangu mwezi January 2020 lakini hadi leo hii hakuna taarifa yoyote juu ya kulipwa.
Hii hali inawakera watumishi waliopunjwa