CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,784
- 6,178
Ili kupambana na changamoto za ukosefu wa fedha na ukata unaosumbua serikali ni muda muafaka sasa wabunge kukaa hosteli ili kuepusha gharama na starehe zisizo na ulazima. Ikumbukwe kuwa kule Dodoma wabunge wanaenda kwa mambo muhimu ya nchi na sio kufanya makazi.
Mbinu hii ina faida zifuatazo:
a) Kupunguza gharama za posho.
b) Kupunguza utoro.
c) Kuongeza umakini n.k
Nawasilisha.
allan.
Mbinu hii ina faida zifuatazo:
a) Kupunguza gharama za posho.
b) Kupunguza utoro.
c) Kuongeza umakini n.k
Nawasilisha.
allan.