PostGE2025 Serikali iifungulie mashtaka CNN kwa uchochezi na kutoa taarifa za uongo

PostGE2025 Serikali iifungulie mashtaka CNN kwa uchochezi na kutoa taarifa za uongo

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
8,019
Reaction score
13,266
Wanankumbi mko njema

Yule mwanasheria mbobobevu aliejinadi ataenda kumkamata Mange

Atatakiwa kuandaa mashtaka ya kwenda kuifungila CiNN kesi kwa kuchafua Taifa linalosadikika halifanyi uovu wa kibinadamu kwa Raia wake,

CiNN itabid kutozwa fain ya dolla billioni 10 hii itasaidi kupunguza deni la Taifa hilo na kupunguza ukali wa gharama zilizotumika ktka uchaguzi wa kusadikika uliotumia pesa nyingi kununua washangiliaji na washereheshaji.

CiNN Mjiandae kisaikolojia kuburuzwa mahakamani uko duniani timu itakuja ikiongozwa na Mwanasheria wetu Nguli

Nimesahau na ripoti ya BBC Pia ni uchochezi na uongo serikali hiyo itaifungulia mashtaka pia Bbc na kuidai fidia ya dola billion 10 woowhh gavo itaingiza jumla ya dola bl 20 za haraka haraka kwa maana wanakila sababu za kushinda kesi

Achilia mbali vyombo vingine kama Dw,Trt,VoA,pia serikali inatarajia kukusanya dola bl 30 kama compensation kwa vyombo ivyo kusambaza taarifa za uongo na uchochezi, kwa kuchapisha picha mjongeo za AI na baadhi ya Rai wakigeni walioingia nchini kufanya fujo

Hapo hapo seerikali itakusanya pia dola billion 20 kwa Ngos na mashirika yalio lipa waandamanaji nchini Tz sirikali itaamua kuyavalia njuga na kuyashati ktk nchi zao uko duniani walipe izo faini kwa kulichafua taifa

Kwa maana hiyo sirkil licha ya kuchamba tu itachukuwa hatua na kufungua kesi na itakusanya jumla ya dola billion 100 kama compensation hii itapelekea taifa hilo kuwa tajiri na kulipa madeni yote na chenji kuwapa maafusaa wa jeshi la polisi na wauaji ili warudie tena kuua ili wapate sababu ingine ya kudai fidia kwa mashirika hayo

Nchi hiyo ya ndani yake kuna nchi ndogo iliyojitangazia uhuru na kupata sarafu yake hivi karibuni inatarajia kuunda jeshi kwa ajili ya 9D nchi iyo ndogo yenye jina la kimar au Gaza inatarajia kuweka pasport mpya na kuendelea kujiimarisha
 
Wanankumbi mko njema

Yule mwanasheria mbobobevu aliejinadi ataenda kumkamata Mange

Atatakiwa kuandaa mashtaka ya kwenda kuifungila CiNN kesi kwa kuchafua Taifa linalosadikika halifanyi uovu wa kibinadamu kwa Raia wake,

CiNN itabid kutozwa fain ya dolla billioni 10 hii itasaidi kupunguza deni la Taifa hilo na kupunguza ukali wa gharama zilizotumika ktka uchaguzi wa kusadikika uliotumia pesa nyingi kununua washangiliaji na washereheshaji.

CiNN Mjiandae kisaikolojia kuburuzwa mahakamani uko duniani timu itakuja ikiongozwa na Mwanasheria wetu Nguli

Nimesahau na ripoti ya BBC Pia ni uchochezi na uongo serikali hiyo itaifungulia mashtaka pia Bbc na kuidai fidia ya dola billion 10 woowhh gavo itaingiza jumla ya dola bl 20 za haraka haraka kwa maana wanakila sababu za kushinda kesi

Achilia mbali vyombo vingine kama Dw,Trt,VoA,pia serikali inatarajia kukusanya dola bl 30 kama compensation kwa vyombo ivyo kusambaza taarifa za uongo na uchochezi, kwa kuchapisha picha mjongeo za AI na baadhi ya Rai wakigeni walioingia nchini kufanya fujo

Hapo hapo seerikali itakusanya pia dola billion 20 kwa Ngos na mashirika yalio lipa waandamanaji nchini Tz sirikali itaamua kuyavalia njuga na kuyashati ktk nchi zao uko duniani walipe izo faini kwa kulichafua taifa

Kwa maana hiyo sirkil licha ya kuchamba tu itachukuwa hatua na kufungua kesi na itakusanya jumla ya dola billion 100 kama compensation hii itapelekea taifa hilo kuwa tajiri na kulipa madeni yote na chenji kuwapa maafusaa wa jeshi la polisi na wauaji ili warudie tena kuua ili wapate sababu ingine ya kudai fidia kwa mashirika hayo

Nchi hiyo ya ndani yake kuna nchi ndogo iliyojitangazia uhuru na kupata sarafu yake hivi karibuni inatarajia kuunda jeshi kwa ajili ya 9D nchi iyo ndogo yenye jina la kimar au Gaza inatarajia kuweka pasport mpya na kuendelea kujiimarisha
Hiyo itakuwa baada ya wauaji na waliowatuma kushitakiwa!
 
MNAFUNGULIA MKIWA MNAMSAFIRISHA MAKONDA USA AU MAWAZIRI NA IGP USWIZZ KWENDA KUFUNGUA KESI AU
 
MNAFUNGULIA MKIWA MNAMSAFIRISHA MAKONDA USA AU MAWAZIRI NA IGP USWIZZ KWENDA KUFUNGUA KESI AU
Wote wataenda kutoa ushahidi barabarah tutapata dola billion 100 za chap ,na wale polisi wataenda kutoa ushahidi kwamba walikuwa wanalenga majambazi tu
 
Wote wataenda kutoa ushahidi barabarah tutapata dola billion 100 za chap ,na wale polisi wataenda kutoa ushahidi kwamba walikuwa wanalenga majambazi tu
kuna kitu wasichojua internet data base zijawahi kuoza kama wanavyofanya huku kuunguza ofisi zao wenyewe.
 
Naunga mkono hoja ikiwezeka wawapige marufuku raia wa marekani kukanyaga Tanzania.
Mpaka Cnn na mashirika mengine ya mabeberu walipe compensation ya dola billion 100 kwa habari zao na dokumentari za uchafuzi
 
Tena wakae wakijua sisi tumewashinda uchumi hao ndugu zao Marekani 😹😹😹

Kwahiyo kesi hii itaendeshwa kwa pesa zetu nyingi wasituchukulie pouwa na tuna mwanasheria nguli kutoka zenziberi 🤣😹😹😹
 
Tena wakae wakijua sisi tumewashinda uchumi hao ndugu zao Marekani 😹😹😹

Kwahiyo kesi hii itaendeshwa kwa pesa zetu nyingi wasituchukulie pouwa na tuna mwanasheria nguli kutoka zenziberi 🤣😹😹😹
😂😂😂😂😂
 
Kwanza ikulu itakuwa haikaliki kbs maana kapelekewa moto , tunasubiri ya Al jazeera
 
Wanankumbi mko njema

Yule mwanasheria mbobobevu aliejinadi ataenda kumkamata Mange

Atatakiwa kuandaa mashtaka ya kwenda kuifungila CiNN kesi kwa kuchafua Taifa linalosadikika halifanyi uovu wa kibinadamu kwa Raia wake,

CiNN itabid kutozwa fain ya dolla billioni 10 hii itasaidi kupunguza deni la Taifa hilo na kupunguza ukali wa gharama zilizotumika ktka uchaguzi wa kusadikika uliotumia pesa nyingi kununua washangiliaji na washereheshaji.

CiNN Mjiandae kisaikolojia kuburuzwa mahakamani uko duniani timu itakuja ikiongozwa na Mwanasheria wetu Nguli

Nimesahau na ripoti ya BBC Pia ni uchochezi na uongo serikali hiyo itaifungulia mashtaka pia Bbc na kuidai fidia ya dola billion 10 woowhh gavo itaingiza jumla ya dola bl 20 za haraka haraka kwa maana wanakila sababu za kushinda kesi

Achilia mbali vyombo vingine kama Dw,Trt,VoA,pia serikali inatarajia kukusanya dola bl 30 kama compensation kwa vyombo ivyo kusambaza taarifa za uongo na uchochezi, kwa kuchapisha picha mjongeo za AI na baadhi ya Rai wakigeni walioingia nchini kufanya fujo

Hapo hapo seerikali itakusanya pia dola billion 20 kwa Ngos na mashirika yalio lipa waandamanaji nchini Tz sirikali itaamua kuyavalia njuga na kuyashati ktk nchi zao uko duniani walipe izo faini kwa kulichafua taifa

Kwa maana hiyo sirkil licha ya kuchamba tu itachukuwa hatua na kufungua kesi na itakusanya jumla ya dola billion 100 kama compensation hii itapelekea taifa hilo kuwa tajiri na kulipa madeni yote na chenji kuwapa maafusaa wa jeshi la polisi na wauaji ili warudie tena kuua ili wapate sababu ingine ya kudai fidia kwa mashirika hayo

Nchi hiyo ya ndani yake kuna nchi ndogo iliyojitangazia uhuru na kupata sarafu yake hivi karibuni inatarajia kuunda jeshi kwa ajili ya 9D nchi iyo ndogo yenye jina la kimar au Gaza inatarajia kuweka pasport mpya na kuendelea kujiimarisha
Ni nguvu serikali kuvungua kesi, maana wakishindwa kesi watapoteza madolali😀
 
Back
Top Bottom