black and white
Senior Member
- Apr 25, 2013
- 102
- 26
Serikali hii hotuba ya lipumba inamalengo gani kwa taifa letu,siamini kabisa kama serikali mtalikalia kimya swala ili, watu wanapamba na kutokomeza udini yeye anazidisha udini.serikali sijui kama kunahaja yakuunda tume kuchunguza mpasuko wa udini kwani tunaushaidi tosha wa bwana lupumba.sasa niwakati wakumuadabisha.