Serikali haijui katikati ya Tanzania ni wapi

Serikali haijui katikati ya Tanzania ni wapi

Kuna umuhimu gani wa kugundua hilo eneo la kati kati ya Tanzania? Serikali itafaidika na nini? Wananchi watafaidika na nini? Mimi nadhani kuna vitu vingine vya msingi na vya kuumiza kichwa lakini sio hili jambo!
Umewaza niwazavyo hakun msingi.....
 
Kwa hiyo Dodoma ni changa la macho tu. Kwa maoni yangu katikakati mwa Tanzania ni Musoma tunaomba ikuku uhamie huko
 
Ni kijiji cha sukamahela mkoani singida ukimalizakupanda mlima salanda anaglia juu utaona mnara iliowekwa na wajerumani juu ya jiwe
 
Kuna umuhimu gani wa kugundua hilo eneo la kati kati ya Tanzania? Serikali itafaidika na nini? Wananchi watafaidika na nini? Mimi nadhani kuna vitu vingine vya msingi na vya kuumiza kichwa lakini sio hili jambo!
tatzo hujui umuhim wake ndy maana hujui hata mkeo anaanza tare ngap ku breed kwakuwa haina umuhim[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
tatzo hujui umuhim wake ndy maana hujui hata mkeo anaanza tare ngap ku breed kwakuwa haina umuhim[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mkuu wewe unavyojua kuna faida gani? Naona umeanza kuongea matusi badala ya kueleza faida za kugundua katikati ya Tanzania ni wapi!
 
Kujua katikati ya Tanzania kunasaidia vipi kukuza uchumi wetu...hii nafikiri siyo priority kwa sasa
 
Hilo swali atakuwa ameulizwa na Musukuma au Jah people! Mbona wazungu wslishaweka alama pale Sukamahela kwenye kilima kwamba ndo ktkt ya nchi? CCM waache ujinga!!
 
magu mwenyew manifesto yachama chake kaiweka mfkoni ukimuuliza vision ya nchi hajui sembuse walioko chini yake
 
Mkuu wewe unavyojua kuna faida gani? Naona umeanza kuongea matusi badala ya kueleza faida za kugundua katikati ya Tanzania ni wapi!
faida ya kujua ni kma faida ya kuifaham mipaka ya nchi kma umeshindwa kuona umuhimu sawa pengine ndy uelewa wako ukutumavyo
 
Back
Top Bottom