Serikali haijui katikati ya Tanzania ni wapi

Serikali haijui katikati ya Tanzania ni wapi

steve_shemej

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,191
Reaction score
1,629
b5903340d5e3bd1c6aa50708af5d815a.jpg


Akijibu swali bungeni ni lini serikali italitambua eneo la chisinjisa kuwa ni katikati ya tanzania?

Naibu waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi mh Angelina mabula alisema mpaka sasa serikali haijui katikati ya tanzania ni wapi. Waziri amesema serikali haijui ila ipo njiani kuanza upimaji ili uweze kuja na jibu kamili

Pia kuhusu dodoma amesema siyo.katikati mwa TANZANIA
 
Kama rais mwemyewe hana njozi zake anategemea za nyerere nini unategemea toka kwa ccm
 
b5903340d5e3bd1c6aa50708af5d815a.jpg


Akijibu swali bungeni ni lini serikali italitambua eneo la chisinjisa kuwa ni katikati ya tanzania?

naibu waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi mh Angelina mabula alisema mpaka sasa serikali haijui katikati ya tanzania ni wapi

waziri amesema serikali haijui ila ipo njiabi kuanza upimaji ili uweze kuja na jibu kamili

pia kuhusu dodoma amesema siyo.katikati mwa TANZANIA
Yaani hata waziri wa Sheria nae hajui msomi aliyetafuna cheti chake
 
Ngoja wazungu waje watathimi kwa gharama ya Bilion 10, kupiga picha juu ili tujue katikati ya Tanzania...
 
Hii nchi ilitakiwa kuwa ajabu la nane la dunia
 
Kuna umuhimu gani wa kugundua hilo eneo la kati kati ya Tanzania? Serikali itafaidika na nini? Wananchi watafaidika na nini? Mimi nadhani kuna vitu vingine vya msingi na vya kuumiza kichwa lakini sio hili jambo!
 
Back
Top Bottom