dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Serikali imesema changamoto ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2017/2018 imetokana na kupungua kwa shughuli za uchimbaji wa madini kwa baadhi ya migodi na kupunguwa kwa wafanyakazi kwenye migodi hiyo.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, ambapo amesema mpango wa maendeleo ya Taifa umeshindwa kutekelezeka kwani mwaka wa fedha 2019/2020 mishahara inakadiriwa kuwa ni shilingi trilioni 7.6 na kuongezeka hadi shilingi trilioni 8.42 kwa mwaka 2021/2022.
KwanzaHabari
Kumbukizi:
Kwenye kongamano la kupongeza Rais kwa miaka 3 alisema mapato yatokanayo na madini yamepaa kuliko wakati wowote ule toka nchi kupata uhuru. Ila leo wanaongea mengine
Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, ambapo amesema mpango wa maendeleo ya Taifa umeshindwa kutekelezeka kwani mwaka wa fedha 2019/2020 mishahara inakadiriwa kuwa ni shilingi trilioni 7.6 na kuongezeka hadi shilingi trilioni 8.42 kwa mwaka 2021/2022.
KwanzaHabari
Kumbukizi:
Kwenye kongamano la kupongeza Rais kwa miaka 3 alisema mapato yatokanayo na madini yamepaa kuliko wakati wowote ule toka nchi kupata uhuru. Ila leo wanaongea mengine