Hahaha labda nyie ni wananchi/ wapiga kura lakini siyo wanyonge.Basi tufanye huku kuna wananchi wengi wanaoishi Mabwepande...wastaafu wengi hasa wa vyombo vya ulinzi wapo huku...mnadhimu nae yupo huku mradi wa nyumba za TBA na Watumishi Housing upo huku...viwanda lukuki kikiwemo cha Hill water na vya chuma vipo huku...mabasi ya mikoa ya Kaskazini asilimia karibia 60 yanapita huku...Bagamoyo tourist town barabara ndio hii...kipi kitazuia...kubwa zaidi huku tupo wapiga kura.
Hali ni mbaya foleni toka Boko Magengeni to Kibo Complex. Tunachoka jamani masaa 2 to Bunju toka Kibo. Halafu Gulio na Jumanne ni Kero liondolewe kwa kuwa linazuia magari kupita. Gari za mikoani na Malori na Daladala kupishana ni hatarishiNaunga mkono hoja
Kipande korofi sana kwa foleni hicho hasa nyakati za jioni. Nadhani malory yote yanayotoka mikoa ya kaskazini yanapita njia hiyo siku hizi badala ya ChalinzeHali ni mbaya foleni toka Boko Magengeni to Kibo Complex. Tunachoka jamani masaa 2 to Bunju toka Kibo. Halafu Gulio na Jumanne ni Kero liondolewe kwa kuwa linazuia magari kupita. Gari za mikoani na Malori na Daladala kupishana ni hatarishi
Asante kwa kunisupport. Serikali ianze na kuondoa Gulio/mnada la Jumanne. Walipeleke pale uwanja wa Chama au Dawasa. Foleni ni ndefu tena pameinuka , barabara ni nyembamba, Mabasi na Malori, private na waenda kwa miguu. Wanunuzi wanapaki magari njiani. Hapo unalala unaamka bado hujasogea.Kipande korofi sana kwa foleni hicho hasa nyakati za jioni. Nadhani malory yote yanayotoka mikoa ya kaskazini yanapita njia hiyo siku hizi badala ya Chalinze
Kuna ile njia inayotengenezwa na TANROADS ya kuingilia Kunduchi, Ununio, Mbweni hadi Kutokea Bunju Beach ingekamilika mapema nayo itasaidia kupunguza foleni
Lakini suluhisho la kudumu ni kutanua/kupanua kipande cha Tegeta hadi angalau Boko Magengeni
Siku ya Jumanne hicho kipande kuanzia Boko Basihaya, Msikitini, Chama, California, Kwa Mpemba hadi Boko Magengeni ni balaa!Asante kwa kunisupport. Serikali ianze na kuondoa Gulio/mnada la Jumanne. Walipeleke pale uwanja wa Chama au Dawasa. Foleni ni ndefu tena pameinuka , barabara ni nyembamba, Mabasi na Malori, private na waenda kwa miguu. Wanunuzi wanapaki magari njiani. Hapo unalala unaamka bado hujasogea.
Naunga hoja 100 kwa 100..
Kwa kweli Serikali ifanye mkakati wa dhati na wa haraka kutanua barabara hii..toka Tegeta mpaka Bunju...barabara imeshakuwa finyu sana
Wafanyakazi tunaokaa Bunju kufika mjini ni mbinde..foleni ni kubwa sana ..tunafika kazini tumechelewa.
Vile vile suala la kupitisha mabasi ya mikoa ya kaskazini njia hii..asubuhi ni heka heka
Tunashauri mamlaka husika pls hebu ingilieni kati haraka
Kipande korofi sana kwa foleni hicho hasa nyakati za jioni. Nadhani malory yote yanayotoka mikoa ya kaskazini yanapita njia hiyo siku hizi badala ya Chalinze
Kuna ile njia inayotengenezwa na TANROADS ya kuingilia Kunduchi, Ununio, Mbweni hadi Kutokea Bunju Beach ingekamilika mapema nayo itasaidia kupunguza foleni
Lakini suluhisho la kudumu ni kutanua/kupanua kipande cha Tegeta hadi angalau Boko Magengeni
Kweli kabisa mkuu wangetanua barabara hadi angalau Bunju mwishi kama bajet ya hadi Bagamoyo haijapatikanaYaani hata haipaswi kuishia Boko inatakiwa ifike Bunju kabisa