N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Kipande hiki ni kero kubwa sana kwa wananchi tunaoishi upande huu, kuna foleni kali sana majira ya asubuhi na jioni. Nafuu unakuja kuipata Tegeta nyuki inapoanzia 4 way.
Tafadhalini tutanulieni hiki kipande cha Bagamoyo Road Nyuki hadi Bunju 'B'. Ukanda huu una private cars nyingi sana kutokana na middle incomers wanaoishi Mbweni na Bunju yenyewe aidha watumiaji usafiri wa umma wanatumia masaa mengi sana kufika Mwenge.
Mathalani Bunju A hadi Mwenge Mataa ni kilomita 23 tu lakini unatumia hadi saa 3 kufika wakati wa asubuhi. Barabara hii itanuliwe ni moja miongoni mwa barabara kero hapa jijini Dar es Salaam.
Wasalaam.
Tafadhalini tutanulieni hiki kipande cha Bagamoyo Road Nyuki hadi Bunju 'B'. Ukanda huu una private cars nyingi sana kutokana na middle incomers wanaoishi Mbweni na Bunju yenyewe aidha watumiaji usafiri wa umma wanatumia masaa mengi sana kufika Mwenge.
Mathalani Bunju A hadi Mwenge Mataa ni kilomita 23 tu lakini unatumia hadi saa 3 kufika wakati wa asubuhi. Barabara hii itanuliwe ni moja miongoni mwa barabara kero hapa jijini Dar es Salaam.
Wasalaam.