pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,668
- 6,370
Hasa hasa YasTanzania #YasTanzania hawa jamaa kila ukinunua umeme mara nyingi utakutana na changamoto ya kukosa token na ukiwapigia simu unajibiwa kirahisi tu kwamba jihidumie au subiri masaa 24 ya kazi yaani siku tatu,
Na ukijihudumia unakutana na majibu kwamba hakuna muamala umefanyika, kwa kifupi ni utapeli wa hali ya juu,
Wanavyofanya sasa:
Wanachuku hela yako na wenzako wengi tu ambao nyote mumejibiwa kwamba kuna tatizo la kiufundi na mnatakiwa kusubiri siku tatu ili mrudishiwe pesa yenu, sasa ndani ya hizo siku tatu wakihold tsh 10,000/= kwa watu milioni moja au tuseme laki moja tu utaona ni hela nyingi sana sasa wao wanaenda kuizungushia hiyo hela na ndani ya siku tatu wanakuwa wameingiza faida kubwa sana
Mjini akili mtu wangu, wanazungushia hela yako bila kukulipa interest hata elf moja kwa kisingizio cha network au tatizo la kiufundi
Mtetezi wetu ni serikali tafadhali angalieni hili Yas Tanzania
Tigo wizara ya mawasiliano
TCRA
Na ukijihudumia unakutana na majibu kwamba hakuna muamala umefanyika, kwa kifupi ni utapeli wa hali ya juu,
Wanavyofanya sasa:
Wanachuku hela yako na wenzako wengi tu ambao nyote mumejibiwa kwamba kuna tatizo la kiufundi na mnatakiwa kusubiri siku tatu ili mrudishiwe pesa yenu, sasa ndani ya hizo siku tatu wakihold tsh 10,000/= kwa watu milioni moja au tuseme laki moja tu utaona ni hela nyingi sana sasa wao wanaenda kuizungushia hiyo hela na ndani ya siku tatu wanakuwa wameingiza faida kubwa sana
Mjini akili mtu wangu, wanazungushia hela yako bila kukulipa interest hata elf moja kwa kisingizio cha network au tatizo la kiufundi
Mtetezi wetu ni serikali tafadhali angalieni hili Yas Tanzania
Tigo wizara ya mawasiliano
TCRA