Serikali amemharibia Mbowe, na Mbowe ameiharibia Serikali

We jamaa empty set hushaidi wa kina Kingai ndo umtie hatiani Mbowe,,
 
sabaya kaend ndani ili mbowe nae afuate ili waonekane wanafanya usawa lkn kwa mbowe watajuta
 
We jamaa empty set hushaidi wa kina Kingai ndo umtie hatiani Mbowe,,
[emoji1

..unazungumza kana kwamba hujui jinsi mahakama zetu zinavyofanya kazi.

..mahakama ni za ccm kwa hiyo wanaweza kumtia hatiani hata kama ushahidi hauna mashiko.
 
We ni muongo sana,unasema juzi watu walikuwa wachache pale chuo cha Ushirika,utakuwa utaoa mbwa wewe
 
Hapa tunajifunza kwamba siasa kandamizi zinaua biashara na uchumi 'political repression is a good source of business failure hence a drop in economy, people are busy in courts'
 
Hapa tunajifunza kwamba siasa kandamizi zinaua biashara na uchumi 'political repression is a good source of business failure hence a drop in economy, people are busy in courts'
Kabisa mkuu
 
Uongozi wa Tanzania haujawahi kuwa na mkono wa Mungu. Taja awamu moja ambazo damu za wasio na hatia hazikumwagika?
Kitendo cha rais kufa akiwa madarakani ni ujumbe tosha.
Samia kulalamika kuangushiwa jumba bovu ni ujumbe tosha hali si shwari.
Uongozi wa nchi hii unasimamiwa na shetani kikamilifu.
 
Mmm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…