ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 20,817
- 48,790
Bila Magufuli kuajiriwa sidhani Kama na yeye angefika sehemu nzuri na nyota yake kuonekana mpaka Sasa na kufanikiwa kufanya mambo makubwa Kama raisi..
Nashauri serikali izingatie hili kwani vijana wengi Sana wanamaliza chuo zaidi ya 50000 na hawapati ajira wanaopata Ni chini ya 5000.nakuomba mheshimiwa rais fanya utaratibu mzuri uajiri watoto wa watanzania Ili na wanyewe Wapate nafasi serikalini vijana wetu na wenyewe waonyeshe uwezo walionao.asante.
Nashauri serikali izingatie hili kwani vijana wengi Sana wanamaliza chuo zaidi ya 50000 na hawapati ajira wanaopata Ni chini ya 5000.nakuomba mheshimiwa rais fanya utaratibu mzuri uajiri watoto wa watanzania Ili na wanyewe Wapate nafasi serikalini vijana wetu na wenyewe waonyeshe uwezo walionao.asante.