Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,498
- 8,559
Toka lini seriali ya kifisadi ikawa wazi? Ni serikali corrupt tu ndio zinafanya mambo Yao kwa kificho!!"uwazi na ukweli" maneno ya B. mkapa.
Tumeamuwa kukaa kimya na tunaendelea kukaa kimya.
Hakuna siri 👇🏾Serikali corrupt ndio hufanya mambo yake kwa kificho/kuwa kimya!!
Hakuna siri kwa vipi? Wewe na mama Abdul wote mmesema mtakaa kimya!! Mtu yeyote anayekaa kimya anapotakiwa kusema hasa masuala ya wananchi na yeye ni kiongozi,lazima kuna kitu anaficha!! Kiongozi wa nchi ambae sio muwazi kwa watu anaowaongoza ni CORRUPT!