Series ya Kapuni

Series ya Kapuni

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,762
Dah ulimwengu unaisha kama wanaigiza kilichomo hatari mwanaume amewapanga wanawake kama nini.
Tuanze bossy mwenyewe ,sekretary wasichana wote waofisini nadhani hadi mlinzi chai .
Hata haoni aibu yaani watu hawatulii bado anaomba msamaha kwa juliana anampenda bado amefumaniwa na demu wa best yake.
Yaani kituko kweli hivi kwa hali hii mtu anaepukaje magonjwa.
Au anajisikiaje kubadilisha wanawake kama nguo i mean hamekosa nini ili awe kakamilika.
Maisha ni kukamilika bhana hata kama unacheat iwe kwa kiasi sio watu kumi hadi house girl wenu.
Inatisha kabisa yaani.
Ili uonekane wewe sio mwanaume wa dar wewe ni kidume au?
Unandoa mke mzuri ila unamleta hawara hadi kwako ndani eti analala na mkeo kitanda kimoja shame .
Nawewe mwenye tabia hizi huoni unatenda dhambi isiyoisha.
Mwenzio kaolewa ila wewe huoni unamkubali mume wamtu chai unaingia mpaka kitandani kwa mwanamke mwenzio halafu kweli usingizi unaupatwa usiwe cruel hivi kama mpo mnamioyo ya chuma.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
madhara ya kuandika uzi usiku ni kwamba huwezi kuona unachoandika kwa sababu ya giza.
pole mtoa mada kwa kuwekwa kwenye orodha ya mlioliwa.
 
Dah ulimwengu unaisha kama wanaigiza kilichomo hatari mwanaume amewapanga wanawake kama nini.
Tuanze bossy mwenyewe ,sekretary wasichana wote waofisini nadhani hadi mlinzi chai .
Hata haoni aibu yaani watu hawatulii bado anaomba msamaha kwa juliana anampenda bado amefumaniwa na demu wa best yake.
Yaani kituko kweli hivi kwa hali hii mtu anaepukaje magonjwa.
Au anajisikiaje kubadilisha wanawake kama nguo i mean hamekosa nini ili awe kakamilika.
Maisha ni kukamilika bhana hata kama unacheat iwe kwa kiasi sio watu kumi hadi house girl wenu.
Inatisha kabisa yaani.
Ili uonekane wewe sio mwanaume wa dar wewe ni kidume au?
Unandoa mke mzuri ila unamleta hawara hadi kwako ndani eti analala na mkeo kitanda kimoja shame .
Nawewe mwenye tabia hizi huoni unatenda dhambi isiyoisha.
Mwenzio kaolewa ila wewe huoni unamkubali mume wamtu chai unaingia mpaka kitandani kwa mwanamke mwenzio halafu kweli usingizi unaupatwa usiwe cruel hivi kama mpo mnamioyo ya chuma.


Sent using Jamii Forums mobile app
Katoto kazuri kwani chuo hakijafungua tu urudi shule???
Hahahaaaa
 
kumbe nawe ni team dstv

thanks to god the almighty
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom