Abraham Richard
New Member
- Feb 7, 2017
- 4
- 3
No a lot of series i know how aboutHaha ndo umegundua Leo dah
Shooter
Six
Billions
Desginated survivor
Berlin station etc
No a lot of series i know how aboutHaha ndo umegundua Leo dah
Isubirie jumanneHata mi sikudhania kwa kwel,kama jack atakuja mbele lakin huyu dogo wa kikurya ameonyesha uhodari sana,wa ndugu mi kwangu naipata episode mbili tu kwan inaendelea
Mkuu hi berlin station numeiangalia episod ya kwanza na ya pili sijaielewa unaweza nishawishi?No a lot of series i know how about
Shooter
Six
Billions
Desginated survivor
Berlin station etc
For sure sijawah ielewa 24 yenyew lakn hii legacy naomba niamn ni kali hatar naiweka level za kina shooter na designatedmkuu chige now naelewa maana yako kuwa "character" anatengenezwa na writter wa movie.... kweli waandishi wa 24 ni next level na wameniprove wrong aiseee..... 24 bila jack naona imeanza kuwezekana kabisa... this season will be lit
There is no way shooter au designated survivor ikaifikia hata robo 24. Shooter ilitakiwa iishe within 4 episodes,sema wakaidrag mbele hadi ikakera (kidogo)..For sure sijawah ielewa 24 yenyew lakn hii legacy naomba niamn ni kali hatar naiweka level za kina shooter na designated
Binafsi sijaiangalia na kwa sasa sitaki kuiangalia... nasubiri mzigo mzima ili ni-enjoy vizuri!!! Na kama ambavyo nilisema, sikuwa na wasi wasi kabisa kwamba bado itakuwa mzuri baada ya kuangalia production team, husani waandishi na director.mkuu chige now naelewa maana yako kuwa "character" anatengenezwa na writter wa movie.... kweli waandishi wa 24 ni next level na wameniprove wrong aiseee..... 24 bila jack naona imeanza kuwezekana kabisa... this season will be lit
24 babuuu ilikua Nouma,jack mbishi mbishi kwel kwel sio kwa oda ya rais au nan akihisi anafanya na matokeo tunayaona,,,kiukwel shooter mi naona ni moja ya series ambayo siwez tena kuifuatilia na nimeifutilia mbali kabsa,,,designated survivor imeanza vizr na story inaeleweka japo haina matukio sana lakin naiman mbelen itakua poa zaid na zaid,jack bour hajawah kuniangusha na kwa hii hatatuangusha...There is no way shooter au designated survivor ikaifikia hata robo 24. Shooter ilitakiwa iishe within 4 episodes,sema wakaidrag mbele hadi ikakera (kidogo)..
Kwene designated survivor wanaongea sana aisee. Kwene 24 jack hataki mchezo Na events occur in real time