Serial Killer

Kwani ungeandika kiswahili ungepungukiwa nini?
 
Umenichekesha mkuu. usikute alikuwa kwenye "cooling off period" ambayo anaweza kukaa hata miaka 20 hajaua
 
Kuna jamaa alipewa jina "kenonkee".. 2014 alitisa sana mkoa wa mara, hasa wilaya ya Tarime!!
duh! alikamatwa? i can imagine Segerea imejaa hawa watu lakini haiwi reported.
 
Ila jeshi letu halina kitengo cha homicide na mambo ya forensic

Tafuta series inaitwa Dexter ni nzuri inahusu serial killer aliyekuwa anaishi double life
 
Ila jeshi letu halina kitengo cha homicide na mambo ya forensic

Tafuta series inaitwa Dexter ni nzuri inahusu serial killer aliyekuwa anaishi double life

Mkuu, Jeshi letu lina vitengo vingi sana, ila haviko published au viko overworked, lakini kama kukamata wauaji, investigations etc my friend mtu anaweza kupatikana mara moja wakitumia intelligence zao usifanye mchezo! hawavumi lakini wamo, kwa mfano, its only 5yrs ago (roughly) ndio chief wa MI6 alijulikana kwa sura before that hakuna hata mtu mmoja aliewahi kumjua kuwa ndie yeye/kumuona in public. Am sure wako tena makini...in plain sight...labda avitangazwi tu kwasababu izo izo wasizosema kuhusu uwepo wa serial killers.
 
Kwa watanzania kuna watu wanaua kwa kulipiza visasi,ujambazi,hasira za ghafla .kimsingi ili huyu Muuaji afaidike kitu.Sio kuua tuu ili apate Raha.Nitaomba wenye kubisha wanitajie muuaji Mmoja tuu liyekuwa anaua watu hovyo ili tuu apate raha katika mtindo huo wa kuwa na cooling off period bila kuwa na sababu ya msingi.
 
Hata mtu mwenye "ngoma" ambaye anaambukiza wenzake huku akijua fika anachokifanya,serial killer.
 
Hata mtu mwenye "ngoma" ambaye anaambukiza wenzake huku akijua fika anachokifanya,serial killer.
Mkuu hao hawapati raha katika kitendo hicho cha kuambukiza.wanapata raha ya kawaida ya sex.halafu from definition hawana cooling off period tofauti na serial killer.
 
Wapo wengi tu! Wachawi wote ni serial killers!
 
Wapo wengi tu! Wachawi wote ni serial killers!
nimecheka sana mkuu, pamoja na wale wanaoenda huko? doh, okay! ila haijawahi kutokea mchawi akafunguliwa kesi kwa mauaji kwa kutumia ndumba zake. interesting!
 
Kwanini unakumbuka tu mauaji ya madadapoa waliouwawa na kutelekezwa nyumba za wageni?
 
Mkuu hao hawapati raha katika kitendo hicho cha kuambukiza.wanapata raha ya kawaida ya sex.halafu from definition hawana cooling off period tofauti na serial killer.
Kwa maana kwamba wao wanakuwa hawana sababu ya msingi ila wanaona raha tu kuua?
 
Kwanini unakumbuka tu mauaji ya madadapoa waliouwawa na kutelekezwa nyumba za wageni?
Nilikuwa Mwenge na mzee mmoja akawa anaongelea hii story, alikuwa akiwaambia wasichana wasirubunike kwenda gesti (ata sikumbuki nilikuwa nafanya nini hapo Mwenge!), akisema kuwa kuna mdada mwili ulikutwa gesti, with some gory details-sijui utumbo umemwagika nje.... Why it stuck with me is that, baada ya hapo nilioona hii story in Alasiri au Kiu, not too sure which, but i believe i did see the story on a newspaper.
 
Kwa maana kwamba wao wanakuwa hawana sababu ya msingi ila wanaona raha tu kuua?
Cha ajabu, nchi zingine ukimuambukiza mtu HIV makusudi, your charged with GBH-Gross Bodily Harm!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…