Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 577
- 1,381
Wakati vita ikiendelea Vizuri na malengo yetu kutimia bwana Putin amemuweka Pembeni waziri wake wa Ulinzi Shoigu.
Na majenerali wameanza kumruka kutoa ripoti (Chain of Command) hivyo anabaki kama pambo. Si ajabu tukasikia hapo baadae kuwa ni msaliti akapotezwa kama hulka ya ya bwana Putin Mkombozi na Shujaa wa wavaa kobazi Duniani.
NB: Pia SPUTNIK wanaripoti mpaka kufika masaa 13 ya Counter offensives ya Jeshi la Ukraine tayari Wameuliwa tayari askari 16,551 wa Kiukraine na idadi kubwa ya magari ya Vita yakiharibiwa.
Kwa taarifa zaidi muone ajenti wao wa bongo Mwandishi Sikirimasikini.
Na log off Z
Na majenerali wameanza kumruka kutoa ripoti (Chain of Command) hivyo anabaki kama pambo. Si ajabu tukasikia hapo baadae kuwa ni msaliti akapotezwa kama hulka ya ya bwana Putin Mkombozi na Shujaa wa wavaa kobazi Duniani.
NB: Pia SPUTNIK wanaripoti mpaka kufika masaa 13 ya Counter offensives ya Jeshi la Ukraine tayari Wameuliwa tayari askari 16,551 wa Kiukraine na idadi kubwa ya magari ya Vita yakiharibiwa.
Kwa taarifa zaidi muone ajenti wao wa bongo Mwandishi Sikirimasikini.
Na log off Z