Urusi yazindua kombora la Avangard lenye kasi mara 12 zaidi ya sauti.

Mathanzua

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
15,919
20,798
Kombora la kwanza lenye teknolojia ya kisasa la Avangard Hypersonic limeanza kufanya kazi, wizara ya ulinzi ya taifa hilo imesema.
Hawakusema ni wapi kombora hilo lilifanyiwa majaribio lakini maafisa awali walikuwa wamesema kwamba litarushwa katika milima ya Urals.
Rais Vladimir Putin amesema kuwa kombora hilo lenye uwezo wa kinyuklia lina kasi ya mara 20 ya sauti na linaiweka Urusi mbele ya mataifa mengine.
Marekani imelifanyia majaribio kombora lake la masafa ya kadri
Wachunguzi: Mitambo ya Urusi ilitungua MH17
Lina "mfumo wa glide" ambao unarahisisha usafiri wake na linaweza kuwa vigumu kujilinda dhidi yake
Waziri wa Ulinzi Sergei Shoigu alithibitisha kombora la "Avangard hypersonic glide liliianza kufanyakazi saa 10:00 za Moscow tarehe 27 Disemba", na kuliita "tukio muhimu".
Bwana Putin alisema Jumanne mfumo wa Avangard unaweza kupenya mifumo ya ulinzi ya makombora ya kisasa na ile ya baadaye, na kuongeza: "Hakuna hata nchi moja inayomiliki silaha kama hiyo mbali na ile ya masafa marefu inayoweza kurushwa kutoka bara moja hadi jingine."
Mataifa ya Magharibi na mataifa mengine yalikuwa "yakicheza nasi", alisema.
Bwana Putin alizindua silaha hiyo ya Avangard na mifumo mingine ya silaha katika hotuba yake ya kitaifa mnamo mwezi Machi 2018.
Mnamo mwezi Disemba 2018, silaha hiyo iligonga lengo la mazoezi ya umbali wa kilomita 6,000 (maili 3,700) katika uzinduzi wa jaribio lililofanyika katika kambi ya makombora kusini mwa milima ya Urals.
Silaha hiyo haiwezi kutunguliwa na mfumo wowote wa ulinzi wa adui, alisema bwana Putin bada ya jaribio hilo.
Putin atazama huku jeshi la Urusi likifanyia majaribio kombora la Avangard Disemba 2018
Likiwa juu ya kombora la masafa marefu linaloweza kurushwa kutoka bara moja hadi jingine , silaha ya Avangard inaweza kubeba silaha ya kinyuklia ilio na uzani wa hadi megatani mbili.
Wizara ya ulinzi ya Urusi imetoa video ya mfumo wa Avangard, lakini wataalam wa silaha wameelezea kutilia shaka ufanisi wake.
Katika taarifa, Pentagon ilisema "haitapinga madai ya Urusi" juu ya uwezo wa Avangard. Marekani ina mpango wake wa kombora la mfumo wa Hypersonic, kama ilivyo China, ambayo mnamo 2014 ilisema ilifanya majaribio ya silaha kama hiyo.
Mnamo mwezi Novemba tarehe 26 Urusi iliruhusu wataalam wa Marekani kukagua kombora hilo la Avangard chini ya sheria za makubaliano mapya ya 2010, azimio linalolenga kupunguza idadi ya silaha za kimkakati za kinyuklia .
Makubaliano hayo ambayo yataisha mnamo februari 2021, ni makubaliano makubwa ya mwisho ya kudhibiti silaha za nyuklia kati ya Urusi na Marekani.
Mnamo Agosti mwaka huu, Marekani ilijitoa katika Mkataba wa Vikosi vya Nyuklia (INF), ambao ulitiwa saini na Rais wa Marekani Ronald Reagan na kiongozi wa Soviet Mikhail Gorbachev mnamo 1987.
Rais wa Marekani, Donald Trump alisema kwamba anataka mkataba mpya wa kinyuklia kutiwa saini na Urusi pamoja na Uchina.
Uchanganuzi wa Jonathan Marcus
Ni vigumu kubaini iwapo mfumo mpya wa kombora la Urusi la Avangard umeanza kufanya kazi, kama inavyodaiwa na Moscow, au ni majaribio yake tu.
Lakini hamu ya Rais Putin kutaka kujivunia kwa kiwango fulani inahesabiwa kuwa haki yake. Urusi inaonekana kupiga hatua kubwa katika ujenzi wa makombora hayo ya kisasa. . China pia inaendeleza mifumo kama hiiyo wakati Marekani inaonekana kusalia nyuma kidogo.
Makombora ya mhemko, kama linavyomaanisha jina lake huruka kwa haraka sana, yaani lina kasi ya angalau mara tano ya ile ya sauti.
Yanaweza kuwa makombora ya aina ya cruise, yanayowezeshwa wakati wote wa urushaji wake. Au, yanaweza kubebwa juu ya kombora la masafa marefu ambalo hujitawanya na kuendelea kuelekea katika lengo lake kwa kasi ya juu.
Sio kasi ya silaha hiyo ya kisasa inayoifanya kuwa imara zaidi bali pia jinsi inavyotawanya upepo wakati inaposafiri ikielekea katika lengo lake.
Hii inaleta tatizo kubwa kwa mifumo ya ulinzi ya makombora iliopo.
Kwa hivyo, ikiwa madai ya Urusi ni ya kweli, huenda imeanzisha mfumo wa kombora la masafa marefu linaloweza kurushwa kutoka bara moja hadi jingine ambalo litakuwa vigumu kujilinda dhidi yake
Tangazo kwamba kombora hilo la Avangard limeanza kufanya kazi linazua enzi mpya na hatari katika ushindani wa kutengenza silaha za kinyuklia
Onyesho la silaha ya Avangard jinsi linavyoweza kupenya
Inathibitisha kwa mara nyingine mtazamo wa Rais Putin juu ya kusisitiza na kurasimisha silaha za nyuklia za Urusi. Ni ishara ya kurudi kwa ushindani wa kiuwezo.
Wachambuzi wengine wanaweza kuona ni mpango wa muda mrefu wa Urusi kukabiliana na mikakati ya kudumu ya Washington ya utengenezaji wa mifumo ya kujilinda dhidi ya makombora .
Hoja ya Marekani kwamba hiyo ni mipango yake ya kujilinda na makombora dhidi ya mataifa yasioaminika kama vile Iran, Korea Kaskazini imepuuziliwa mbali na Urusi.
Yote haya yanajiri wakati ambapo mtandao mzima wa makubaliano ya kudhibiti silaha kutoka kwa vita baridi yanaporomoka .
Mkataba mmoja muhimu - Mkataba mpya wa Start - unatarajiwa kumalizika mnamo Februari 2021. Urusi inaonekana kuwa tayari kuongeza makubaliano lakini utawala wa Trump hadi sasa umeonekana kutilia shaka .
Pamoja na kizazi kipya cha silaha za nyuklia, wengi wanaamini sio tu kwamba mikataba iliyopo inapaswa kusitishwa, lakini mikataba mipya inahitajika kusimamia kinachoweza kugeuka kuwa ushindani mpya wa silaha za nyuklia.

Source: BBC News.
 
Nilikuwa nje ya mitandao kwa siku kadhaa vipi yale makombora yaliua na kuna taarifa ipi kuhusu mgogoro wao.
mm.png

US officials have so far declined to release any information about the damage to their bases or casualties inflicted by the missile strikes.

The White House canceled a formal address to the Americans Tuesday night. Reacting to the attack in a Twitter post, President Donald Trump claimed "All is well." He said an assessment of casualties and damage from the strikes was underway and that he would make a statement on Wednesday morning
.*

Updates:
Report: Damage from Iran strikes 'much greater' than US admits
Monday, 13 January 2020 7:23 PM [ Last Update: Monday, 13 January 2020 8:16 PM ]

US Rep. Ilhan Omar (D-MN) (L) talks with Speaker of the House Nancy Pelosi (D-CA) during a rally with fellow Democrats before voting on H.R. 1, or the People Act, on the East Steps of the US Capitol on March 08, 2019 in Washington, DC. (AFP photo)

This January 8, 2020 satellite image released by Planet Labs Inc. reportedly shows damage to the Ain al-Asad US airbase in western Iraq, after being hit by missiles from Iran. (By AFP)

A report by a correspondent for Danish TV 2 who has interviewed Danish soldiers positioned at Iraq’s Ain al-Assad airbase, which was the target of a retaliatory attack from Iran against US forces, shows that the damage done to the base has been “much greater” than the US officials acknowledge.
The report cites Danish sergeant Johnand other Danish soldiers as making the comment in an interview after the US military base in the western Iraqi province of Anbar was targeted by Iran’s retaliatory strikes.
“Suddenly, the first wave came, that’s what I call it. Nine rockets at barely a ton each. It cannot be described. I’ve never experienced anything like it, and I hope to never come to it again,” said the Danish sergeant, who was in a bunker along with his other comrades at the time of the strikes.
The first strikes were so severe that we were sure we were going to a golden desert and nothing would be left. We were really surprised that everything hadn’t fallen on top of our heads. I would estimate that the nearest rocket hit 300 yards from us, and as we walked around afterwards, there were halves of helicopters, and there were holes so big that you could park a van in them,” the sergeant added.Sergeant John went on to say that the damage was “actually much greater than the US admitted, with even helicopters being destroyed and not just several buildings damaged and hitting open territory in the camp.


Updates:
US military has now admitted that 11 US troops were wounded in Iranian missile attack despite earlier denials
Friday, 17 January 2020 7:27 AM [ Last Update: Friday, 17 January 2020 8:17 AM ]



US Rep. Ilhan Omar (D-MN) (L) talks with Speaker of the House Nancy Pelosi (D-CA) during a rally with fellow Democrats before voting on H.R. 1, or the People Act, on the East Steps of the US Capitol on March 08, 2019 in Washington, DC. (AFP photo)

A picture taken on January 13, 2020 during a press tour shows a view of the damage at the Ain al-Asad military airbase housing US and other foreign troops in the western Iraqi province of Anbar. (Photo by AFP)
The United States military has comfirmed that 11 of its troops were wounded in an Iranian retaliatory missile attack last week despite Washington's initial claim denying casualties.

The Ain al-Assad airbase is a large complex located about 180 kilometers west of the Iraqi capital of Baghdad, housing about 1,500 US forces and members of the US-led coalition that purport to fight the Daesh Takfiri terrorist group.
On January 8, the Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) fired volleys of ballistic missiles at Ain al-Assad, and another outpost in Erbil, the capital of the semi-autonomous Iraqi Kurdistan.

Updates:

The US military says there were more troops were in the US base in Iraq, when it came under attack by Iran retaliation for the US assassination of Iran’s General Qassem Soleimani.

US Central Command announced Tuesday 23 Jan.2020, that apart from the 11 previously announced injured, additional troops were being treated.

The CENTCOM has refused to mention the exact figure so far and appears to be taking advantage of US President Donald Trump’s impeachment trial in the Senate to make the announcement as smoothly as possible in order to save the US military’s reputation in the wake of the missile
attack.
 
Mwanzo waajemi walisema waliua na kusababisha majeraha kwa majeshi baadhi

Ila turampet na genge lake lawahuni wakasema hawajajeruhiwa wala kuuwawa
Nilikuwa nje ya mitandao kwa siku kadhaa vipi yale makombora yaliua na kuna taarifa ipi kuhusu mgogoro wao.
Ila leo naona wanasema wamepata injari sasa hapa hata sielewi turampet alikua namaana gan ama sielewi ana maanisha nn aliposema kama all is well......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom