fagix
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 741
- 563
Katika hali ya kushitusha huko serengeti wanawake wanadaiwa kufunga ndoa na wanaume walio kufa na ndoa hizo kuitwa ndoa za Makaburi. walipo hojiwa na azam tv wanawake hao wamekiri kuwa kuna ndoa za aina hizo amabazo zina wapa mateso makubwa kutokana na wanawake hao kuishi katika mazingira magumu sana . Mmoja ya mzee aliye ozesha binti yake amekili kuwa ndoa hizo zipo japo huwa zinafungwa kwa siri kubwa.
Tanzania tuna safari ndefu ya kukomesha munyanyasa wa kijinsia
Tanzania tuna safari ndefu ya kukomesha munyanyasa wa kijinsia