jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Basi la kampuni ya KIMOTCO lililokua linatoka Musoma kwenda Arusha kupitia Mugumu, limepata ajali katika mto wenye viboko ndani ya hifadhi ya taifa ya Serengeti.
Maji yamesababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hifadhini.
Maji yamesababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hifadhini.