Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Vyote kamera zilivyoweza kuonesha/Ulikua unaangalia mechi au mapaja yake...
Vyote kamera zilivyoweza kuonesha/Ulikua unaangalia mechi au mapaja yake...
Kwema sana mwana Rossoneri mwenzangu, usajili tunaenda wapi?Dah mkuu kwema?
Ebana hata mimi nilikosa jibu kwa kweli
Maria hajawahi kumfunga Serena tangu 2004, na wiki kama 2 zilizopita alipigwa nadhani kwenye fainali ya Madrid Open.Sharapova kashindwa kumfunga Serena leo at 31 yrs old, sidhani kama atapata chance tena. (Miss William became the oldest woman to win a major title since Navartilova in 1990 at 33yrs old).
Unajua nlikaa naangalia hii mechi, katikati ya mapaja ya Serena hizo plasta zinashika pampers au ni nini nikashindwa kupata jibu :sad:
Groin kivipi mwana, mbona kwa nyuma hazipo?
Kwema sana mwana Rossoneri mwenzangu, usajili tunaenda wapi?
Huyu Dada kuna mwaka nilimchumbia ila wazazi wangu wakaniambia nisimuoe coz hajui kupika...
Basi nkaachana nae
Hah hah haaah mkuu angalia.
Maana Juve2012 nimeshamkuta anakunywa nae Azam Malta pale Dagaa Dagaa...
Asa usije ukalea mtoto wa mwana Dele Alpi mwezio
Tevez lina nyodo sana litaaribu team spirit/Tumeligeukia Tevez sasa