katika hatua ya kushangaza spika na waziri mkuu wamedai posho zimepanda wote wakiliongelea swala hili kwa nyakati tofauti na ofisi ya rais kukanusha kuwa hazijapanda huu ni mwendelezo wa vituko ndani ya serikali hii nani anaongoza nchi
Ingekuwa nchi zenye demokrasia ya kweli waziri mkuu, na spika wa bunge wote wangejiuzuru kwa kushushiwa heshma na kutofautiana na rais waziwazi, ila kwa Tz Pinda wala Makinda hawa feel chochote ati heshma ya inashuka, walaaa..AMA KWELI TANZANIA YA KIKWETE NI ZAIDI YA SINEMA, ngoja tusubiri tuone mwisho wake..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.