kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,793
- 5,042
Siasa za chuki siku zote sio nzuri
Na tujue kutofautisha kati ya uzalendo na uzamwamwa
Moise Katumbi alipokea timu ya Taifa ya Congo ndani ya uwanja wa Mazembe na kuwapa matunzo yote
Baada ya timu ya Taifa kushinda serekali walitoa dollars elfu tano ( 5000) kwa kila mchezaji
Moise katumbi akatoa dollar elfu kumi ( 10,000) kwa kila mchezaji.
Nayo imekuwa nongwa kwa Serekali.
Moise Katumbi ametoa ndege yake wasafirie hizo chuki za kutangazia wakongo kuwa Moise Katumbi ni mwizi wa mali zetu mmezitoa wapi.
Miaka 9 hii Moise Katumbi hana Posta yayote katika Serekali ya Kongo au ya mkoa.
Si waseme ni aibu tu watu waelewe kuwa wameshindwa na mtu binafsi wao ndo wana madaraka lakini bado nongwa kwa mtu binafsi
Wamenunua timu za mpira Gavana Kyabula ni mmiliki wa Lupopo
Chama cha UDPS wao ni wamiliki wa AS Vita club
Mbona hawajafanya hata nusu ya kile Katumbi alifanya kwa Mazembe
Si wakubali maendeleo ni akili sio ubabe
Na tujue kutofautisha kati ya uzalendo na uzamwamwa
Moise Katumbi alipokea timu ya Taifa ya Congo ndani ya uwanja wa Mazembe na kuwapa matunzo yote
Baada ya timu ya Taifa kushinda serekali walitoa dollars elfu tano ( 5000) kwa kila mchezaji
Moise katumbi akatoa dollar elfu kumi ( 10,000) kwa kila mchezaji.
Nayo imekuwa nongwa kwa Serekali.
Moise Katumbi ametoa ndege yake wasafirie hizo chuki za kutangazia wakongo kuwa Moise Katumbi ni mwizi wa mali zetu mmezitoa wapi.
Miaka 9 hii Moise Katumbi hana Posta yayote katika Serekali ya Kongo au ya mkoa.
Si waseme ni aibu tu watu waelewe kuwa wameshindwa na mtu binafsi wao ndo wana madaraka lakini bado nongwa kwa mtu binafsi
Wamenunua timu za mpira Gavana Kyabula ni mmiliki wa Lupopo
Chama cha UDPS wao ni wamiliki wa AS Vita club
Mbona hawajafanya hata nusu ya kile Katumbi alifanya kwa Mazembe
Si wakubali maendeleo ni akili sio ubabe