Msaranga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 956
- 229
Jamani kitendo cha serekali hii ya awamu ya nne kutenga bilioni nane kwa viongozi wastaafu wasiozidi kumi na kutenga bilioni 5 tuu kwa hospitali za rufaa ambazo zinawahudumia watanzania wote na bunge kupitisha (wabunge wa ccm)kweli ina nia nzuri na sisi raia wake kweli? Mimi ninamashaka.
Naomba kuwasilisha wanajamii tuchangie
Naomba kuwasilisha wanajamii tuchangie