Hilo suala halitatokea kamwe. Ngoz nyeusi hatujiamin na pia tunapenda kuwatukuza ngoz nyeupe.
Hapa tz watu weng sana weny ujuz wa kila aina, serikali ikaamua kuwasupport tutafika mbali sana km china. Tunachungu nzima ya watu weny ujuzi lkn tunawaangalia tu halafu leo tunataka nchi ya viwanda mbona hainingii akilini kbsa
mfano. Mtu aliyetengeneza gari na helicopta akiendelezwa mbona hiv vitakuwa vingi sana hapa tz.
Mbali na hapo kuna watu wamebobea kweny masuala ya IT lkn tunataka rwanda ndio itusaidie. Ha ha ha ha
tz tunachungu nzima ya watu weny kutengeneza vitu mbali kias kwamba wakipewa support tz yetu itakuwa kila mtaa ina kiwanda lkn cha kushangaza tunategemea watu weupe waje wawekeze tz ktk sector ya viwanda ha ha ha ha ha ha. Inachekesha na pia inahuzunisha
muhindi anateknolojia gani huyu?!!! Tz tunajichanganya sana, ktk watu ambao huwa siwakubali mpaka keshokutwa ni wahindi, hawa hawana lolote zaid ya unyonyaji tu. Kule kwao maskini km nn halaf waje kuwekeza hapa. Walio fanya kaz au wanaofanya kaz kweny mashirika ya wahind watanielewa ni bora hata uwe boda boda utapata hela na sio hawa washenzy.
Mtoa mada naungana na ww, kwa tz yangu hiyo kitu haitatokea hata ikifika mwaka 2050 na kuendelea.
Angalia nchi zote zenye viwanda km marekan, china n.k walithamini vya nyumban na kuviendeleza.
Mtoa uzi hata mm nitavaa nguo za ccm na kuchukua kadi kbsa ikiwa nchi viwanda 2020.