thereitis
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 297
- 41
Ndugu wanajamii, leo asubuhi startv Africa katika kipindi chao cha Tuongee asubuhi walikuwa wanajadili sera mpya ya elimu. Pamoja na mambo mengine washiriki walisema sera hii inaelekeza kuwa elimu ya msingi itakuwa miaka sita na umri wa kuanza darasa la kwanza utakuwa miaka 6. Nafikiri ni muhimu tuijadili sera hii.
Maombi yangu: wenye access na soft copy ya rasimu ya sera hii waiweke hapa ili tuijadili
Maombi yangu: wenye access na soft copy ya rasimu ya sera hii waiweke hapa ili tuijadili