Sera Mbadala: Chadema yatikisa Mbeya

View attachment 915201
Mwanachama wa CCM anarudisha kadi ya CCM kwa CDM amevaa T-shirt ya CDM how, na pembeni jamaa kapiga gwanda? Hi ni propoganda mfu. Last kick of dying a donkey.
Sasa cha ajabu ni kitu gani? Si alishaamuwa kuihama ccm kabla hata ya huo mkutano ndo maana?

Hivi siku ya harusi unadhani ndo siku hiyohiyo watu walipanga? Maamuzi yalishafanyika, hiyo ni celebration tu na ndiyo maana aliweza kuja na gwanda pamoja na kadi ya ccm.
 
Niko MBEYA lakini taarifa hii naiona JF.

Waambie Chadema CCM itaendelea kuwapiga bao mpaka wakome.

Vinginevyo waache hofu ya kumpoteza Sugu wakazane kumzika Sauli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…