Sensa ya WACHINA nchini Tanzania

Sensa ya WACHINA nchini Tanzania

Mimi nadhani mngeanza na sensa ya pikipiki za kichina, mabasi, baiskeli, barabara, reli, viwanja vya mpira vya kichina, n.k., acheni ubaguzi.



Akili ya kukariri changanya na ya kwako!!!
Kama kweli wako milioni nane ni hatari kama UKIMWI.
 
Kwanini tuwasakame wachina tu? Wapo pia wakenya, wayuganda, wakongo, wanageria, waarabu, wahindi...nao wanafanya kazi hizohizo wanazoweza fanya watanzania



Afrika ni Moja.Hata mila na imani zetu za jadi zinafanana. Mtu mweusi bara lake na asili yake ni Afrika.
Ila hawa wachina ni wakati wao wa kuingia kwenye shamba letu la mahindi lisilo na mlinzi.
 
April 2004 nilikuwa IlembuLa Iringa sijui kama ni Njombe now,, nilikuta wachina kibao, wengi wao waganga wa kienyeji hata kichina wamesahau wanaongea kibena tu.
 
Jambo la maana sana! Mimi hata sielewi faida hasa za hawa watu! Kwanza wako kivyao vyao, ajira wanajiajiri wenyewe, akiwekwa mTZ mshahara hauzidi elfu 90.
Kodi wanakwepa! Hivi wanatusaidia nini hawa watu wakiongezeka hapa nchini. Jana nilikua napata dinner pale Palm Beach nikaona hadi kinyozi yupo pale.

Aisee Palm Beach ndo kijiwe chao kikubwa kabisa. Na asilimia zaidi ya 90 ya vidada vya kichina unavyoviona pale vinajiuza, USD 100 kwa mshindo mmoja, ukishakua mteja wake bei inashuka hadi Tsh 50,000.
 
Wapeni kati ya miaka 10 mpaka 15 kama Serikali haitakuwa makini kuwazuia hawa jamaa kuingia nchini kiholela basi wanaweza wakawa wao ndio majority na siye tunakuwa minority. Wanaitana tu kuna shamba la bibi huku njooni tuvune kwa raha zetu basi watatiririka kwa idadi kubwa.
 
Ni Sasa yote hya hyana shida wakuu ila jiulize,je cc tunaweza kufany hvo china,mfno kuchoma chips china,kuuza yeboyebo.....
Tunajibu tu mada Vila kufkria mbele baada ya miaka10
 
hapa arusha yuko mmoja maeneo ya stand kuu ya mabas ya dar,mwanza mbeya anachoma mahind na mahogo na wadogo zake mmoja yuko gereji kisongo na mwingine anatengeneza jift pale bomang'ombe bila kumsahau rafiki yangu kipenz 'TAN HU KAA'mtaiwani anayeuza matunda pale mtowambu barabara ya lake manyara na karatu pia pale nzega kwa kigwa yupo mmoja anafundisha nusary school ya kanisa moja maarufu nchini ila kali kuliko kuna mmoja niliwahi kumwona na kapu la karanga kule morogoro hi ndo tz shamba la bibi bhanaa

haaahaaaa! maisha bora kwa kila mtanzania ccm bwana!!
 
Back
Top Bottom