Kumekuwa na kujinadi kuwa Sensa ni kwa ajili ya Serikali kusaidia watu.
Serikali hii hii ya tozo?
Kwamba basi Ina mpango lini wa kuachana na makamuzi ya tozo yasiyokuwa na chembe ya uhalali Ili ianze kusaidia watu?
Serikali hii hii ya walamba asali?
Beberu anasema - "too good to be true."
Si waseme tu, uelekeo sasa ni nyumba kwa nyumba?
Serikali hii hii ya tozo?
Kwamba basi Ina mpango lini wa kuachana na makamuzi ya tozo yasiyokuwa na chembe ya uhalali Ili ianze kusaidia watu?
Serikali hii hii ya walamba asali?
Beberu anasema - "too good to be true."
Si waseme tu, uelekeo sasa ni nyumba kwa nyumba?