Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
kaka na wewe acha kudanganyika kizembe na propaganda za wana magamba. mawaidha yetu sisi huwa live kwenye microphone, ivi kuna siku hata moja umesha sikia waislam wakidai hayo yaliyoandika na huyo mzembe dai namba 4 hadi 7. uwe unatafakari kwanza.
Kwani dai la Sensa lilikuwapo hapo zamani? Tutayadai hayo yote pindi muda utakapowadia na Maswahiba wetu CCM watatusaidia