Senegal's Karim Wade jailed for corruption

Senegal's Karim Wade jailed for corruption

Hizo za Canada hazina ushahidi lakini zenu mlizotuibia zina ushahidi kwani hamjui kuiba mnaacha tracess nyuma; hongo zenu zote mlizopata kutoka kwa WACHINA kupitia dalali wenu Shimbo zinajulikana zilikofichwa!!!

Sisi kina nani? Hakuna traces wala kilichoibiwa, unazungumza kwa kudhani na huna ushahidi wowote ulionao kuthibitisha uhalali wa tuhuma zako dhidi yake, kwa sababu katika hali ya kawaida ungeuweka huo ushahidi kusupport hizo kauli kama ambavyo wengi wanafanya humu jukwaani pale wanapomtuhumu mtu. Kuna watu wamewahi kutaja akaunti za benki, kiasi cha fedha katika akaunti, mikataba iliyosainiwa, namba ya hundi na kiasi cha fedha kilicholipwa na vitu kama hivyo. Sasa wewe unaposhindwa kuweka hadharani vitu kama hivyo, sioni sababu ya kuendelea kumshutumu mtu kwa sababu hakuna kinachothibitisha kuwa unachokisema kina ukweli. Ungekuwa unao ushahidi ukauweka hadharani, sidhani kama swala la kupinga shutuma zako dhidi yake lingekuwa na nguvu na kusema eti hakuna hatua zitakazochukuliwa dhidi yake si swala la msingi kwa sababu hakuna ulichowahi kukitolea uthibitisho.
 
Uso wa nyoka;

Just continue to feed yourself with some physcological food, but time will tell!!
 
Last edited by a moderator:
I let my mind work this way because I am alive and I do not like what you and your gang are doing to this great country!!Your gang's impunity STINKS!!

Now provide your evidence to support your accusations, how could you accuse someone without proof of their wrongdoing? Its like trying to make people believe you without giving them a reason to do so , only fools would do that! Why should we believe you when you have not given us a concrete reason to do so?
And by the way, which gang are you talking about anyway?
 
Ridhiwan amesoma alama za nyakati ndiyo maana wanataka kumuweka baba mdogo Membe Urais.
 
Now provide your evidence to support your accusations, how could you accuse someone without proof of their wrongdoing? Its like trying to make people believe you without giving them a reason to do so , only fools would do that! Why should we believe you when you have not given us a concrete reason to do so?
And by the way, which gang are you talking about anyway?


The GANG I am referring to is your SYNDICATE of thieves who have colluded and bankrupted the country through your impunity to an extent that the government cannot meet its basic obligations!!Ndugu zetu wanakufa hovyo kwasababu hospitali hazina dawa, watoto wanakalia matofali shuleni na shule zenyewe hazina hata matundu ya vyoo kwasababu ya ufisadi wenu nyie washenzi!!
 
The GANG I am referring to is your SYNDICATE of thieves who have colluded and bankrupted the country through your impunity to an extent that the government cannot meet its basic obligations!!Ndugu zetu wanakufa hovyo kwasababu hospitali hazina dawa, watoto wanakalia matofali shuleni na shule zenyewe hazina hata matundu ya vyoo kwasababu ya ufisadi wenu nyie washenzi!!

Hasira na kupayuka havisaidii, I ask you politely to provide the evidence that might justify your accusations against Ridhiwani Kikwete so that some of us who find your claims to be lies could be proven wrong!
Show everybody here that My saying that you are driven by hate and grudges is wrong!
And by the way, how comes you accuse Me of belonging to a gang of thieves when you don't even know Me? Or its because this is how you brand people by establishing their character without basing your conclusions on facts?
 
Hasira na kupayuka havisaidii, I ask you politely to provide the evidence that might justify your accusations against Ridhiwani Kikwete so that some of us who find your claims to be lies could be proven wrong!
Show everybody here that My saying that you are driven by hate and grudges is wrong!
And by the way, how comes you accuse Me of belonging to a gang of thieves when you don't even know Me? Or its because this is how you brand people by establishing their character without basing your conclusions on facts?


Have you ever heard the Engilsh saying" SHOW ME YOUR FRIENDS AND I SHALL TELL YOU YOUR CHARACTER"? Wewe unatetea mafisadi na ufisadi ni lazima utakuwa mmoja wao au unafaidika na ufisadi wao!!
 
Have you ever heard the Engilsh saying" SHOW ME YOUR FRIENDS AND I SHALL TELL YOU YOUR CHARACTER"? Wewe unatetea mafisadi na ufisadi ni lazima utakuwa mmoja wao au unafaidika na ufisadi wao!!

Nachohitaji ni ushahidi kuwa hao naowatetea ni mafisadi. Huwezi kumtwisha mtu tuhuma nzito bila kuwa na ushahidi unaothibitisha hilo. Hata wewe siwezi kukutuhumu kwa kuhisi, ni wendawazimu!
 
Karim Wade mtoto wa aliyekuwa raisi wa Senegal Abdoulaye Wade ambaye pia alikuwa ni mgombea uraisi kupitia chama cha baba yake kahukumiwa kifungo cha miaka 6 na kulipa faini ya USD 230 milioni,amehukumiwa kifungo kwa makosa ya ufisadi na ulaji rushwa wakati wa kipindichautawala wa baba yake ambapo Karim alikuwa ni waziri mwenye nguvu zaidi na akitegemewa kumrithi baba yake,imebainika ameficha USD 1.4 bilionikwenye visiwa vya British Virgin na Panama,alisweka lupango kuanzia April 2013.
Nadhani hilo litakuwa fundisho kwa watoto wa viongozi wa kisiasa wanaotumia nafasi zao wazazi wao kujitajirisha,hapo awali tulisikiwa pia mtoto wa aliyekuwa raisi wa Zambia Rupia Banda akitafutwa na Interpol ili akajibu tuhuma za ulaji rushwa wakati wa utawala wa baba yake. Tanzania bado tuna safari ndefu juu ya uthubutu wa kuwafikisha mahakamani mapapa wa ufisadi,na baadhi yao wamediriki hata kubadili maoni ya wananchi kwenye Katiba pendekezwa ili kujikinga na mambo ya ufisadi na bado tunawachekea na kuwatukuza,Watanzania tumekuwa watu wa kubezwa na kuchekwa kwa ujinga wetu.
Huu utamaduni wa kuwaabudu na kuwataka mafisadi wawe viongozi wetu tena kwa maandamano na mbwembwe za ''kuombwa'' kuwa wawe viongozi tutakuja kusaga meno muda si mrefu.Tuombe Mungu atupe uhai ili tushuhudie mazingaombwe ya viongozi mafisadi wakiwa ndio wenye maamuzi ya hatima ya nchi yetu,JF itakuwa ndio''Hansard ''yetu.
 
Nachohitaji ni ushahidi kuwa hao naowatetea ni mafisadi. Huwezi kumtwisha mtu tuhuma nzito bila kuwa na ushahidi unaothibitisha hilo. Hata wewe siwezi kukutuhumu kwa kuhisi, ni wendawazimu!imekwiaha

Nimekwisha kutahadhalisha hapo nyuma na narudia tena kuwa tia nywele zako maji sasa wakati wenzio wananyolewa ili zilainike usije ukapata maumivu sana kwani YOUR DAYS ARE NUMBERED!! Utake usitake kimbunga hicho lazima kitakukumba wewe na genge lako!
 
Nachohitaji ni ushahidi kuwa hao naowatetea ni mafisadi. Huwezi kumtwisha mtu tuhuma nzito bila kuwa na ushahidi unaothibitisha hilo. Hata wewe siwezi kukutuhumu kwa kuhisi, ni wendawazimu!imekwiaha

Nimekwisha kutahadhalisha hapo nyuma na narudia tena kuwa tia nywele zako maji sasa wakati wenzio wananyolewa ili zilainike usije ukapata maumivu sana kwani YOUR DAYS ARE NUMBERED!! Utake usitake kimbunga hicho lazima kitakukumba wewe na genge lako!

Sioni sababu wala faida ya kupayuka kwa mambo ya kutunga na kudhani. Nimekuomba ushahidi unaendelea tu kupayuka wakati huna ushahidi wa kusupport tuhuma zako, kitu kinachodhohirisha kuwa wewe ni muongo, mzushi uliejawa na chuki kiasi cha kutunga na kusingizia tuhuma dhidi ya mtu.
Mtu kuwa member wq familia ya Rais ndilo kosa pekee la kumfanya kuwa mtuhumiwa kwako wewe. Nyinyi ndio wachochezi wenye kustahili kupuuzwa.
 
Tusubiri huko tuendako. Mmojawapo kati ya hawa anaweza pia kuonja gereza.
1:Makongoro Nyerere
2:Hussein Mwinyi
3:Anna Mkapa
4:Ridhiwani Kikwete.
 
Na na mtoto wa lowasa nae lazima akamatwe amepata wapi fedha za kununua Nyumba uingereza.vifungo vinawasubiri hawa.
 
Tusubiri huko tuendako. Mmojawapo kati ya hawa anaweza pia kuonja gereza.
1:Makongoro Nyerere
2:Hussein Mwinyi
3:Anna Mkapa
4:Ridhiwani Kikwete.

Umemsahau Frederick lowasa ambae anachunguzwa kwa kununua Nyumba uingereza kupitia mgongo wa babake fisadi lowassa
 
Back
Top Bottom