Agent Smith
Member
- Jul 2, 2026
- 55
- 130
- Thread starter
- #21
Wabongo size zetu za viatu kwa wanaume watu wazima wengi tunacheza 40-44. Juu au chini ya hapo wapo wachache.Mzee baba kama hauna size 45 ni bora ufunge tu duka...(joking)
Wauza viatu na sandals sijui kwa nini huwa mnakosa size kubwa...
Pia ukinunua balo hauoni ndani kuna nini kwahiyo utakachokikuta ndio hicho hicho.