CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
hali zenu wadau, hivi ni makosa kutuma multiple application mf. zimetangazwa nafasi za kazi zaidi ya moja afu nikatuma application katika nafasi 3 tofauti. je ni makosa???? msaada wenu tafadhali