Evelyn Salt Platinum Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,670 Reaction score 167,721 Aug 22, 2016 #21 lup said: kwani wewe hautaki ubavu wako? Click to expand... Ubavu wangu ulipikiwa supu mpendwa.....
lup JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 2,514 Reaction score 2,744 Aug 22, 2016 Thread starter #22 hahahhaha.... xo ujipatie mbinu tena na ukimpata utafanyia yale ambayo ugetamani kufanya kawa aliyepikwa supu
hahahhaha.... xo ujipatie mbinu tena na ukimpata utafanyia yale ambayo ugetamani kufanya kawa aliyepikwa supu
UrbanGentleman JF-Expert Member Joined Jun 19, 2016 Posts 2,584 Reaction score 1,886 Aug 22, 2016 #23 Evelyn Salt said: Ubavu wangu ulipikiwa supu mpendwa..... Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji13][emoji13]
Evelyn Salt said: Ubavu wangu ulipikiwa supu mpendwa..... Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji13][emoji13]
Tutor B JF-Expert Member Joined Jun 11, 2011 Posts 9,025 Reaction score 6,617 Aug 22, 2016 #24 lup said: hahhhhahahaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji1] [emoji10] [emoji10] [emoji3] [emoji3] USIKOSE HUENDA NI KWA AJIRI YAKO. Click to expand... Kijana wangu hatakuja kwa sababu bado yupo kwenye sheria za familia. Kurudi nyumbani mwisho saa 01:30 usiku. Zaidi ya hapo hatuwezi kuelewana. Utawapata wale wasiokuwa na uangalizi.
lup said: hahhhhahahaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji1] [emoji10] [emoji10] [emoji3] [emoji3] USIKOSE HUENDA NI KWA AJIRI YAKO. Click to expand... Kijana wangu hatakuja kwa sababu bado yupo kwenye sheria za familia. Kurudi nyumbani mwisho saa 01:30 usiku. Zaidi ya hapo hatuwezi kuelewana. Utawapata wale wasiokuwa na uangalizi.
Evelyn Salt Platinum Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,670 Reaction score 167,721 Aug 22, 2016 #25 lup said: hahahhaha.... xo ujipatie mbinu tena na ukimpata utafanyia yale ambayo ugetamani kufanya kawa aliyepikwa supu Click to expand... Hapana ubavu ni mmoja tu, mie sina changu tena Afu Mpendwa kuandika xo uache, huu ni uandishi wa kihuni
lup said: hahahhaha.... xo ujipatie mbinu tena na ukimpata utafanyia yale ambayo ugetamani kufanya kawa aliyepikwa supu Click to expand... Hapana ubavu ni mmoja tu, mie sina changu tena Afu Mpendwa kuandika xo uache, huu ni uandishi wa kihuni
Mwanyasi JF-Expert Member Joined Nov 16, 2010 Posts 7,955 Reaction score 7,112 Aug 22, 2016 #26 Evelyn Salt said: Hapana ubavu ni mmoja tu, mie sina changu tena Afu Mpendwa kuandika xo uache, huu ni uandishi wa kihuni Click to expand... Uandishi wa vitoto vya form two
Evelyn Salt said: Hapana ubavu ni mmoja tu, mie sina changu tena Afu Mpendwa kuandika xo uache, huu ni uandishi wa kihuni Click to expand... Uandishi wa vitoto vya form two
lup JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 2,514 Reaction score 2,744 Aug 22, 2016 Thread starter #27 Evelyn Salt said: Hapana ubavu ni mmoja tu, mie sina changu tena Afu Mpendwa kuandika xo uache, huu ni uandishi wa kihuni Click to expand... sawa mpendwa nimekuelewa nitabadilika nipe mda kwani mabadiliko ni process nisamehe
Evelyn Salt said: Hapana ubavu ni mmoja tu, mie sina changu tena Afu Mpendwa kuandika xo uache, huu ni uandishi wa kihuni Click to expand... sawa mpendwa nimekuelewa nitabadilika nipe mda kwani mabadiliko ni process nisamehe
lup JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 2,514 Reaction score 2,744 Aug 22, 2016 Thread starter #28 Nanoli said: Dar!? Dar hapana! Mtatufatilia kwenye fb... Ha ha ha haaaa,.. Wameitamani sana. Click to expand... tutafika tu hadi huko sio mbaya
Nanoli said: Dar!? Dar hapana! Mtatufatilia kwenye fb... Ha ha ha haaaa,.. Wameitamani sana. Click to expand... tutafika tu hadi huko sio mbaya