Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umenikumbusha,niliikuta picha ya dadaangu kule ,

nilimuonyesha alipigwa na butwaa[emoji41]

Raia walikuwa wanaulizia connection[emoji16]
Hahahaha.....

Hata mimi nilishawahi kuona/kukutana na picha ya mdogo wangu anayenifata mara tatu

Jamaa aliandika eti kuku wa kienyeji(dada yangu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…